Maneno ya kuonyesha maumivu, mikunjo ya sura ya kuumia, machozi, kilio cha maumivu huwa vinapagawisha sana wanaume na kuwaongeza midadi kwamba wao wana moto mkali.
Ila pia kuna kufeki maumivu, wanaume wengi hasa wanaotoka vijijini kuja mjini wanakuwa wahanga wakikutana na wadada wajanja...
Iko hivi, wiki mbili zimepita nilikua kiwanja kimoja maarufu sana hapa Dar nikavutiwa na mrembo mmoja nikamuita akanipa namba na nilipotaka kuondoka nikataka kuondoka nae ila akasema amekuja na kampani yake ya mabinti wengine na wana mpango wa kuondoka wote. Nikasema isiwe kesi, basi tutaonana...
Sifa za mwanaume rijali
Lazima ajue kushawishi (kumshawishi wanamke na akuamini)
Lazima atembee kiume; sio kwenda upande upande
Lazima ajue kubeba majukumu
Lazima awe na sauti kwa mkewe/ mpenzi wake
Lazima awe na msimamo
Havai vitu wanavyovaa wanawake
Hafanyi vitu wanavyofanya wanawake
Hakai...
Kusema ukweli Mimi ni rijali na vigezo vifuatavyo vinathibitisha Hilo.
Nina six pack
Mrefu
Mweusi
Katili kidogo
Sijawahi kupigwa kwenye ngumi.
Nk
Ila udhaifu wangu ukitaka nilie kama mtoto mdogo nirushie dudu washawasha lenye manyoya na likitembea linajinyonga nyonga.
Uoga wangu wa pili ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.