Bak byzo I.T
JF-Expert Member
- Jun 29, 2014
- 264
- 122
- Thread starter
- #61
Jana mlisema mahitaji yenu kwa wanawake ni matatu tu: kupikiwa,unyumba na tuwaache mpumzike sasa leo mmekuja na mpya tena, kazi kweli kweli
Haya yalisaulika
Jana mlisema mahitaji yenu kwa wanawake ni matatu tu: kupikiwa,unyumba na tuwaache mpumzike sasa leo mmekuja na mpya tena, kazi kweli kweli
Mmh huku ni kutuandaa kisaikolojia ili mtupande vichwani, haipo hiyo.
Na kuna wadhamini wa mada.
"Kungwi nimetuma 20,000 njoo utufunde"
Hivi ni kweli mtu anatuma?
Unafundishwa kuwa mwanamke
mwanamke boya ninani?Ungesema hizo ni sifa za mwanamke boya ningeelewa
mwanamke boya ninani?