rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,106
- 18,713
Sahihi kabisaaaaa, ila nadhan ww ndo utakuw boyaaaa kunoga
Sawa somo naomba unionyeshe mizungu niokote mwali mie
Sahihi kabisaaaaa, ila nadhan ww ndo utakuw boyaaaa kunoga
Mwanamke mwema ni mnyonge tena mmh. Unamjua mtu mnyonge?
Hahaha nzuri tu dear, za kupotea?Namjua ndio, hahahahahah zamiaka
Hahaha nzuri tu dear, za kupotea?
Ha ha haa mwenzangu na hakuna hata jipya
Kumbe nawe ni denti wa hayo madarasa ha ha ha
Kwani kuna umri?Ila jeuri...angalia vibabu havitaacha kuwatafuna jilekebisheni
Kuna watu wanajitiaga ukungwi mjini hapa kutafuta sifa tu....
Type hiyo ipo na ndio wanawake wanaoongoza kwa kunyanyaswa. Lkn cha kushangaza ni kuwa wanaume wengi wanapenda wanawake wajeuri na wakorofi na wenye kiburi. Utakuta mwanaume anamwagiwa mitusi na mwanamke lkn anang'ang'ania tu na kuomba msamaha hadi anampigia magoti mwanamke huyo mkorofi. lkn pia wanawake type hiii ya wakorofi wengi wao ndo waliojaaliwa kuwa wazuri na type hiyo ya wapole na wenye upendo na utulivu ni wanawake wa kawaida sana.
Darasa mmoja sh 1000 teh
Na kuna wadhamini wa mada.
"Kungwi nimetuma 20,000 njoo utufunde"
Hivi ni kweli mtu anatuma?
Unafundishwa kuwa mwanamke
Sawa ila sifa kuu ya mwanaume unaijua???
Shogaa niliwahi ingia twisheni siku 1 mbona niligombana na mwalimu na kaniblock mpaka leo
Mleta mada nini kimekuchochea kuleta uzi huu hapa jamvini??!!
Huyo ni typical mke wa kiislamu.na muendelee kuwashika masikio hivyohivyo