teamasala
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 600
- 609
SI UNGESEMA TU KWA KIFUPI AWE MTUME NA NABII WA KIKE! full stop
SI UNGESEMA TU KWA KIFUPI AWE MTUME NA NABII WA KIKE! full stop
Ndo walio wengi sema huwezi kuwaona sababu hawana tako na ndo kipaumbele.Nadhani wa hivi utamkuta mbinguni kwa baba
Kitu cha wowowo au vipi jabali la karneNdo walio wengi sema huwezi kuwaona sababu hawana tako na ndo kipaumbele.
Ni kweli mi nakiri kabisa hizo sifa zote sina ndiyo maana nikasema sijioni nikiwa mama bora hapo, mwenye hizo sifa zote ni zaidi ya mtu perfect aiseeHizo ndizo sifa za "mke mwema" lakini ukweli mchungu ni kwamba wengi hamna hata 40% ya sifa tajwa.So sad lakini ndo uhalisia!
Duh hizo za malaika na ukipata mwenye sifa zote hizo inabidi umlipe mshahara mkubwa tu😀🤣🤣🤣Hizo za mwanamke
🤣Kitu cha wowowo au vipi jabali la karne
🤣🤣🤣🤣
Asimlipe mshahara bali akimbie mbio atakua sio mtu huyo bali jiniDuh hizo za malaika na ukipata mwenye sifa zote hizo inabidi umlipe mshahara mkubwa tu😀
Umeona eeh yaani huyo ni malaika kashuka duniani😀😂Asimlipe mshahara bali akimbie mbio atakua sio mtu huyo bali jini
😄
Hawapo kabisa na hata wangekuwepo wangeondoka na hiki kimbunga Jobo😀Au wa aina hiyo washakufa wote
Mwenye uwezo wa kukaa kwenye Baraza la wazee wa nchi.Sifa za mwanaume astahikie kuitwa baba nazo ni zipi?