green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 11,303
- 35,850
Nikweli ndio maana mabrazamen wengi hawanaga hela na masista du wengi wanamuda mchache sana wa kusavaiv kwenye gameImea
Imeandikwa Mungu hakupi vyote
Nikweli ndio maana mabrazamen wengi hawanaga hela na masista du wengi wanamuda mchache sana wa kusavaiv kwenye gameImea
Imeandikwa Mungu hakupi vyote
Labda umzae wa kwakoSIFA ZA MWANAMKE AFAAYE KUITWA MAMA.
1: Mwaminifu katika kila jambo.
2: Sio mbishi kwa mumewe na watu wengine.
3: Hadekezi watoto.
4: Ni msiri kuhusu mambo ya mumewe na ya familia kiujumla.
5: Ana hekima na sio kutwa kutafuta watu na kuropoka siri za familia.
6: Ni mvumilivu.
7: Ni mwepesi wa kukiri makosa yake na tabia zake ambazo sio njema.
8: Ni msafi wa mwili,nyumba na mavazi.
9: Mcha mungu ila asiyejiona yeye yuko perfect.
10: Anapenda kumpikia na kumfulia mumewe na kumsaidia mambo mbalimbali.
11: Ni mleta mahusiano mema ktk familia zote.
12: Sio mchonganishi wala mtu wa kulazimisha mambo yake yakubaliwe.
13: Hana dharau,kiburi,hasira na unafiki.
14: Asiwe mgomvi, mtafuta makosa na asiwe anaishi na mume kwa Kusikiliza maneno ya marafiki, au kufanyia kazi maneno ya kuambiwa.
Hamjambo ndimi Mimi Kijani wenu Emmanuel Kasomi tupate break kidogo
kumpata mwenye sifa hizi lazıma uchonge Mpingo aisee! 😁Duh sijioni nikiwa mama kwa sifa hizo aisee😀 hizo si ni sifa za malaika wa kike mkuu?
Aisee basi wamama watakua wachache sanaa😀 sifa 1000+ aarghkumpata mwenye sifa hizi lazıma uchonge Mpingo aisee! 😁
Kama mwanamke asiekuwepo na sifa tajwa hapo juu akashika mimba na kujifungua mtoto,yule mtoto hatafaa kumwita huyu mwanamke mama,,?SIFA ZA MWANAMKE AFAAYE KUITWA MAMA.
1: Mwaminifu katika kila jambo.
2: Sio mbishi kwa mumewe na watu wengine.
3: Hadekezi watoto.
4: Ni msiri kuhusu mambo ya mumewe na ya familia kiujumla.
5: Ana hekima na sio kutwa kutafuta watu na kuropoka siri za familia.
6: Ni mvumilivu.
7: Ni mwepesi wa kukiri makosa yake na tabia zake ambazo sio njema.
8: Ni msafi wa mwili,nyumba na mavazi.
9: Mcha mungu ila asiyejiona yeye yuko perfect.
10: Anapenda kumpikia na kumfulia mumewe na kumsaidia mambo mbalimbali.
11: Ni mleta mahusiano mema ktk familia zote.
12: Sio mchonganishi wala mtu wa kulazimisha mambo yake yakubaliwe.
13: Hana dharau,kiburi,hasira na unafiki.
14: Asiwe mgomvi, mtafuta makosa na asiwe anaishi na mume kwa Kusikiliza maneno ya marafiki, au kufanyia kazi maneno ya kuambiwa.
Hamjambo ndimi Mimi Kijani wenu Emmanuel Kasomi tupate break kidogo
Generations Y and Z huwezi kupata wamama wa hivyo aisee, labda kwenye Gen X huko. 😁 😁Aisee basi wamama watakua wachache sanaa😀 sifa 1000+ aargh
SIFA ZA MWANAMKE AFAAYE KUITWA MAMA.
1: Mwaminifu katika kila jambo.
2: Sio mbishi kwa mumewe na watu wengine.
3: Hadekezi watoto.
4: Ni msiri kuhusu mambo ya mumewe na ya familia kiujumla.
5: Ana hekima na sio kutwa kutafuta watu na kuropoka siri za familia.
6: Ni mvumilivu.
7: Ni mwepesi wa kukiri makosa yake na tabia zake ambazo sio njema.
8: Ni msafi wa mwili,nyumba na mavazi.
9: Mcha mungu ila asiyejiona yeye yuko perfect.
10: Anapenda kumpikia na kumfulia mumewe na kumsaidia mambo mbalimbali.
11: Ni mleta mahusiano mema ktk familia zote.
12: Sio mchonganishi wala mtu wa kulazimisha mambo yake yakubaliwe.
13: Hana dharau,kiburi,hasira na unafiki.
14: Asiwe mgomvi, mtafuta makosa na asiwe anaishi na mume kwa Kusikiliza maneno ya marafiki, au kufanyia kazi maneno ya kuambiwa.
Hamjambo ndimi Mimi Kijani wenu Emmanuel Kasomi tupate break kidogo
MBONA ZOTE MKE WANGU ANAZO,SIFA ZA MWANAMKE AFAAYE KUITWA MAMA.
1: Mwaminifu katika kila jambo.
2: Sio mbishi kwa mumewe na watu wengine.
3: Hadekezi watoto.
4: Ni msiri kuhusu mambo ya mumewe na ya familia kiujumla.
5: Ana hekima na sio kutwa kutafuta watu na kuropoka siri za familia.
6: Ni mvumilivu.
7: Ni mwepesi wa kukiri makosa yake na tabia zake ambazo sio njema.
8: Ni msafi wa mwili,nyumba na mavazi.
9: Mcha mungu ila asiyejiona yeye yuko perfect.
10: Anapenda kumpikia na kumfulia mumewe na kumsaidia mambo mbalimbali.
11: Ni mleta mahusiano mema ktk familia zote.
12: Sio mchonganishi wala mtu wa kulazimisha mambo yake yakubaliwe.
13: Hana dharau,kiburi,hasira na unafiki.
14: Asiwe mgomvi, mtafuta makosa na asiwe anaishi na mume kwa Kusikiliza maneno ya marafiki, au kufanyia kazi maneno ya kuambiwa.
Hamjambo ndimi Mimi Kijani wenu Emmanuel Kasomi tupate break kidogo
kiasi kwa makucha yale mitaa ya kwa bibi kule sijui wanafanyaje usafi. au saluni za siku hizi wanatoa huduma ya kusafisha?Sasa Pisi Kali huo muda wa kupika na kufua ataupata wapi! Muda wote ni kujiangalia tu kwenye kioo! Muda wote yuko Instagram akiangalia kiki za Kajala na Harmonize!
Ameweka makucha marefu ya bandia vidoleni mwake! Muda wote liuso lake limejaa ma makeup!! Aaarghh!! Pisi Kali mnazingua sana. Na kama mpo humu, basi mbadilike haraka ili tuwaweke ndani.
Hizo ndizo sifa za "mke mwema" lakini ukweli mchungu ni kwamba wengi hamna hata 40% ya sifa tajwa.So sad lakini ndo uhalisia!Duh sijioni nikiwa mama kwa sifa hizo aisee😀 hizo si ni sifa za malaika wa kike mkuu?