Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,030
- 111,617
Fanya uwahi kunikagua
Chap kwa haraka na mikoani natumwa 😂
Chap kwa haraka na mikoani natumwa
Dada angu huku utaandika ,utaandika humu hao watu hawapo labda utoe tangazo la biashara humu utapata wateja. Goodnight1. Anajitambua
2. Mpole
3. Ana busara
4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba
5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza
6. Hayuko tayari ku kupoteza
7. Ana risk kila kitu kwaajili yako
8. Ana huruma
9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha
10. Ana kusifia very often
11. Anakua open na kueleza mipango yake
12. Anakua na wewe kwenye shida na raha
13. Anakuambia nakupe very often
14. Anawajulia hali familia yako
15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo
16. Ni mpambanaji na anajitegemea
Na zingine malizieni……..
unanifanya niwe chiiizeee 😂
Tupo usimpotoshe mwenzioDada angu huku utaandika ,utaandika humu hao watu hawapo labda utoe tangazo la biashara humu utapata wateja. Goodnight
Labda unzae mwenyewe tena mimba uwe umepewa na malaika1. Anajitambua
2. Mpole
3. Ana busara
4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba
5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza
6. Hayuko tayari ku kupoteza
7. Ana risk kila kitu kwaajili yako
8. Ana huruma
9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha
10. Ana kusifia very often
11. Anakua open na kueleza mipango yake
12. Anakua na wewe kwenye shida na raha
13. Anakuambia nakupe very often
14. Anawajulia hali familia yako
15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo
16. Ni mpambanaji na anajitegemea
Na zingine malizieni.
Eti "anakufanyia surprise very often"...
Ma tamthilia ya kituruki na kikorea yamewajaa vichwani.....
Mtaishia kupata "bongo movie"mkiendekeza hizo tamthilia
Umri wako tafadhali
Kwa kuswahili inaitwa "Danga"
😂usicheke wakati naumia mwenzio
Akili yako kwa asilimia kubwa inaonekana inategemea Wanaume Shutka Dada Saizi vijana wa Tanzania wanakimbila kuolea Nchi jirani wew jifariji tu na mavitu ya ajabu wakati pilau zinaenda kuliwa kigali na Lilongwe
Watu wa daslama mnashida sana
Watu wa ovyo sana utakuta umempata mwenye sifa zote alafu unaenda kuliwa na Mudi boda boda au na Muha mkopesha vyombo!