kuna jamaa alijaribu ku pretend kuwa na sifa hizo ili ampate binti.. kumbe ni boooonge la mchepukaji, dah miezi mi3 ilikwa mingi aliumbuka. wanaume bana..!
Sifa ya kwanza ya wapendanao ni upendo wa dhati kutoka ndani ya nyoyo zao ambao hupelekea ndoa yenye furaha na amani tele...hayo mengine watu wengi huwa wanaigiza na sio halisi kutoka ndani ya nyoyo....kwani ni rahisi kufumba macho ili usiomuone usiyempenda lakini ni vigumu kuufunga moyo kwa yule umpendaye kwa dhati otherwise ziwe ni tama za kimwili.......
Sidhani kama kuna mwanaume mwenye sifa zote hizo!! Japo umemsifia pia sidhani kama kweli wanawake wanapenda mwanaume wa dizaini hiyo! Kaa ana-bore vile!! Wanawake wanapenda challenge!! Labda kweli ule msemo usemao"Wanawake hawajui wakitakacho!!"
Drama..!! Kwanza hakuna wa hivyo kwasasa labda awe ana pretend halafu mkioana anarudi enzi zake(fake)..!! Pili hata akipatikana wa hivyo basi mwanamke anaweza akawa na vituko..!! Jambo la ajabu siku hizi msichana anataka husband material wakati yeye ni mnzinzi na na tabia nyingine za ajabu na wanaume hivyo hivyo eti wanaita wife material wakati ni wazinzi wakubwa..!!
a husband material ni relative term. Yani ni mtazamo wa mtu na mtu. Husband material wa binti mmoja sio wa mwingine. kuna asiye na hela anaona yule atakaye tatua matatizo yake ya kifedha ndio anafaa, kuna mwene pesa nyingi ambaye kwake mtu atakayempa furaha na smile kila saa kwake ndio husband material na kadhalika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.