Tajiri Mapesa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2020
- 707
- 742
Habarini wakuu, bila Shaka nyote mu wazima wa afya tele. Sasa ndugu zangu katika tafuta tafuta zangu nimefanikiwa kumwona binti mmoja wa kabila la kinyamwanga na nimetokea kumpenda.
Nataka ikiwezekana nioe niweke ndani. Hivyo wakuu kama kuna yeyote anaye zijua sifa za mabinti wa kabila hili la kinyamwanga tafadhari niorodheshee ili nisije nikaingia mkenge.
Nataka ikiwezekana nioe niweke ndani. Hivyo wakuu kama kuna yeyote anaye zijua sifa za mabinti wa kabila hili la kinyamwanga tafadhari niorodheshee ili nisije nikaingia mkenge.
