Tajiri Mapesa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2020
- 707
- 742
- Thread starter
- #21
Kwanini umeyapenda hayo majinanimependa majina hayo bibie Sieme
Kwanini umeyapenda hayo majinanimependa majina hayo bibie Sieme
Ni kweli mkuu lkn Bado kaukabila bongo kapo sana. Kuna kabila Bado zinasumbua ukioa au ukiingia nazo kwenye mahusiano. Mfano wachaga aise ni wanapenda pesa,nilikua na mpenzi wangu wa kichaga,akiamuka asubuhi anawaza pesa tu. Unampa pesa leo baada ya masaa machache tu amekwisha sahau, anaomba nyingine.Hilo kabila lipo sana upande wa Zambia, watu naweza sema wote hawawafahamu.
My self nawajua kiasi kikubwa sana.
But unaoa mtu siyo kabila, hebu jiridhishe naye wewe kama wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
bac tuKwanini umeyapenda hayo majina
Niko Momba naishi nao.Inategemea unaoa wa wapi aliye kulia kijijini au mjini? wa kijijini kubali yafuatayo ndugu na jamaa zake kuhamia kwako, uwezekano wa kutembea na mdogo au dada mtu ni mkubwa sana na unaweza kuwaoa wote wawili
Mwalalauli mkombeMwakata huli mlumendo,krb unyamwangani Mimi kk yao yaani unataka uwe Shem wangu