Sifa za Binti wa kimeru

Sifa za Binti wa kimeru

Status
Not open for further replies.

Jeff

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2009
Posts
1,293
Reaction score
202
Wadau, heri ya mwaka mpya 2014,

Naombeni mnipe mwanga kidogo kuhusu jambo hili, sina hakika sana kama jambo hili limeshajadiliwa humu jamvini ila naomba mnipe sifa na tabia za jumla za mabinti wa kimeru kutoka Arusha, ingawa sifa na tabia ni za mtu binafsi lakini kuna baadhi zile za kikabila naombeni mnisaidie kuniambia hizo za jumla, natarajia kuchukua mke huko, karibuni wadau

Naomba muwe serious wanajf, kwani mimi niko serious
 
Command asili yao. Hawajatulia wazazi wao ni akina Palagyo. Mungure.Aikieli.Minja Nyiti etc but mapnz hawajui ila kugegedana wanajua
 
ujeuri na ukorof ni damu yao. BTW unatarajia "kuchukia ama kuchukua?"
 
wanapenda sana kunyonywa maziwa...!!

yani kabla hujagusa bikini ama kibukta chake cha man u alichovaa ndani,

we mnyonye kwanza maziwa kama nusu saa hivi, ili apotelee mbingu ya 20!!

baada ya hapo sasa..!! mmmh!! ntafute pm nikumalizie..!!
 
Jiandae kwa
1. Kununua shamba
2. Kufuga kondoo na ng'ombe

Ukifanya hayo utamfaidi Samburaa.


Ila ujue ni

Wakorofi ,
Wabishi,
Can Take A Bullet for You,
Fight by ur side mpaka pumzi ya mwisho, ukimzingua haoni hatari kurudi kwao chaap (Kwan njichirooo)
Mashemeji kama ni wa Sing'isi lazima uwe mpole
Wanajua kugegedana (sema hakuna foreplay)


Unaoa kijiji gani gani bwana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom