ngozimbili
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 1,398
- 1,006
Mkuu Joka Kuu umenikumbusha mbali!Kwa maoni yangu, upande wa UTETEZI ndiyo uliotia fora ukiongozwa na Wakili MURTAZA LAKHA.
Kwa kweli Murtaza Lakha alikuwa na maswali ya kuwachachafya sana mashahidi wa upande wa mashtaka.
Upande wa mashtaka ulikuwa na wakili anaitwa William Sekule ambaye alifanya kazi nzuri sana ktk kuhitimisha kesi na kuchambua ushahidi na kuuunganisha na washtakiwa.
cc Nguruvi3, Pascal Mayalla
Zamani hiyo boss..Siku hizi kitengo watu wanaenda bila the right merits...Daah imenisisimua Sana!!
Kumbe wazee wa kitengo huwa wanatunzwa kuja kuwa watu wazito sana.
Ndo maana mchakato huwa ni wa kisiri sana kuwapata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Katka kesi ile William sekule alikuwa ni DPP mawakili Wa serikali niKwa maoni yangu, upande wa UTETEZI ndiyo uliotia fora ukiongozwa na Wakili MURTAZA LAKHA.
Kwa kweli Murtaza Lakha alikuwa na maswali ya kuwachachafya sana mashahidi wa upande wa mashtaka.
Upande wa mashtaka ulikuwa na wakili anaitwa William Sekule ambaye alifanya kazi nzuri sana ktk kuhitimisha kesi na kuchambua ushahidi na kuuunganisha na washtakiwa.
cc Nguruvi3, Pascal Mayalla
Katka kesi ile William sekule alikuwa ni DPP mawakili Wa serikali in
Zamani hiyo boss..Siku hizi kitengo watu wanaenda bila the right merits...
Discreoancy ndogo isitutoe kwenye reli. Angalia the big picture kama ma great thinker wa JF wanavyofanyaMmh! Kwenye thread nyingine humu imesema eti Mwandishi Mnenge Suluja aliandika kuwa Dk. Mahiga alitambulishwa kama "Shahidi X". Ebu tuwaulize, MNA uhakika au mnapiga ramli?
Wanajamvi mwenye kuweza kuanzisha uzi maalum kwa ajili ya ile kesi ya UHAINI na kilichoendelea baada ya kesi na walipo wale wahusika kwa sasa itatusaidia sana sisi wa juzijuzi. Au kama kina uzi tayari naomba mtu anipe link nikajisomee huko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi huyu wakili alipotelea wapi? Kwani aliibuka ghafula na kupata umaarufu mkubwa sana katika kesi hiyo na baada ya kesi sidhani kama aliendelea kusikika na kwa wakati ambapo uhuru wa vyombo vya habari haukuwepo, huyu wakili alitisha kweli, mpaka magazeti ya uhuru na mzalendo wakawa hawana jinsi ya kukwepa zaidi ya kuandika makali yake kwa jinsi alivyokuwa anawapelekesha mashahidi wa upande wa jamhuri.Mkuu Joka Kuu umenikumbusha mbali!
Tulikuwa tunaishi Drive In Estate, mafleti next to Banyikwas, nyumba zimeungana na kutenganushwa na ukuta. Mzee wa Kihangaza, mke Mhangaza, alikuwa na mabinti 4 bomba sana!, Hope, Daines, Betty na Ngola na kaka yao mmoja Mzomu. Hapo ndipo vikao vilipo fanyikia!.
Kesi hiyo ilikuwa na similarities nyingi na Kesi ya Mauaji Mwanza, Mzee wangu, Andrew Mayalla ndio alikuwa RSO wa Mwanza, Jaji alikuwa Nassor Mzavas, DPP alikuwa William Sekule, Mzee wangu alitetewa na wakili Murtaza Lakha, ndie pekee alichomoka, wengine wote walikula mvua nyingi!.
Murtaza Lakha alinifanya nitamani kuwa wakili, by then ukikosa 1st class forget law, ndio nika opt journalism, he was the best na mpaka sasa bado sijaona wakili yoyote Tanzania aliye vaa viatu vyake!.
P
Mkuu, pia nilishasoma mahali , nadhani ni humuhumu JF kuwa Wakili Lakha alianza kazi kama karani wa mahakama baadaye akajiendeleza na shule ya mambo ya sheria.Mkuu Joka Kuu umenikumbusha mbali!
Tulikuwa tunaishi Drive In Estate, mafleti next to Banyikwas, nyumba zimeungana na kutenganushwa na ukuta. Mzee wa Kihangaza, mke Mhangaza, alikuwa na mabinti 4 bomba sana!, Hope, Daines, Betty na Ngola na kaka yao mmoja Mzomu. Hapo ndipo vikao vilipo fanyikia!.
Kesi hiyo ilikuwa na similarities nyingi na Kesi ya Mauaji Mwanza, Mzee wangu, Andrew Mayalla ndio alikuwa RSO wa Mwanza, Jaji alikuwa Nassor Mzavas, DPP alikuwa William Sekule, Mzee wangu alitetewa na wakili Murtaza Lakha, ndie pekee alichomoka, wengine wote walikula mvua nyingi!.
Murtaza Lakha alinifanya nitamani kuwa wakili, by then ukikosa 1st class forget law, ndio nika opt journalism, he was the best na mpaka sasa bado sijaona wakili yoyote Tanzania aliye vaa viatu vyake!.
P
Mayalla kama ulikuwa unapendelea kufuatilia kesi unikumbushe kesi ya MTU mmoja anaitwaMkuu Joka Kuu umenikumbusha mbali!
Tulikuwa tunaishi Drive In Estate, mafleti next to Banyikwas, nyumba zimeungana na kutenganushwa na ukuta. Mzee wa Kihangaza, mke Mhangaza, alikuwa na mabinti 4 bomba sana!, Hope, Daines, Betty na Ngola na kaka yao mmoja Mzomu. Hapo ndipo vikao vilipo fanyikia!.
Kesi hiyo ilikuwa na similarities nyingi na Kesi ya Mauaji Mwanza, Mzee wangu, Andrew Mayalla ndio alikuwa RSO wa Mwanza, Jaji alikuwa Nassor Mzavas, DPP alikuwa William Sekule, Mzee wangu alitetewa na wakili Murtaza Lakha, ndie pekee alichomoka, wengine wote walikula mvua nyingi!.
Murtaza Lakha alinifanya nitamani kuwa wakili, by then ukikosa 1st class forget law, ndio nika opt journalism, he was the best na mpaka sasa bado sijaona wakili yoyote Tanzania aliye vaa viatu vyake!.
P
Kuna Mentor wangu katika haya mambo ya kisheria alikuwa anamwita Larkha " the great" , basi jamaa alikuwa mkali.Mkuu Joka Kuu umenikumbusha mbali!
Tulikuwa tunaishi Drive In Estate, mafleti next to Banyikwas, nyumba zimeungana na kutenganushwa na ukuta. Mzee wa Kihangaza, mke Mhangaza, alikuwa na mabinti 4 bomba sana!, Hope, Daines, Betty na Ngola na kaka yao mmoja Mzomu. Hapo ndipo vikao vilipo fanyikia!.
Kesi hiyo ilikuwa na similarities nyingi na Kesi ya Mauaji Mwanza, Mzee wangu, Andrew Mayalla ndio alikuwa RSO wa Mwanza, Jaji alikuwa Nassor Mzavas, DPP alikuwa William Sekule, Mzee wangu alitetewa na wakili Murtaza Lakha, ndie pekee alichomoka, wengine wote walikula mvua nyingi!.
Murtaza Lakha alinifanya nitamani kuwa wakili, by then ukikosa 1st class forget law, ndio nika opt journalism, he was the best na mpaka sasa bado sijaona wakili yoyote Tanzania aliye vaa viatu vyake!.
P
Mizengo kitengo zamani sanaKumbe Mizengo ni kitengo?
Murtaza Lakha alitimkia UK baada ya kuandamwa na tuhuma za tax avoidance. Alifariki dunia mwaka 2010 huko huko UiengerezaHivi huyu wakili alipotelea wapi? Kwani aliibuka ghafula na kupata umaarufu mkubwa sana katika kesi hiyo na baada ya kesi sidhani kama aliendelea kusikika na kwa wakati ambapo uhuru wa vyombo vya habari haukuwepo, huyu wakili alitisha kweli, mpaka magazeti ya uhuru na mzalendo wakawa hawana jinsi ya kukwepa zaidi ya kuandika makali yake kwa jinsi alivyokuwa anawapelekesha mashahidi wa upande wa jamhuri.