Sifa kuu za mtu maskini ni zipi ?

Sifa kuu za mtu maskini ni zipi ?

Sifa kuu za mtu maskini ni zipi ?
Kuongea sana.

Kuna jamaa namdai "JIWE" aka "BOX" aka "KILO" sasa baada ya kumkumbushia akasema atalipa kesho ila akaanza story kibao kama 100 hivi za uwekezaji ,ujenzi nikaona hapa hamna kitu ,sasa cha kushangaza zaidi ya week simu haipatikani.

Ukiona mtu anajieleza sana ujue hana hela huyo.

YANGA BINGWA.
 
Kujichekesha akimuona mwenye hela.
- Kila akimuona mwenye atatoa ushauri wa bure 😂
- Kueleza matatizo yake hata kama hukumuuliza
 
Hana uhakika wa kula,

Hana uhakika wa kulala,

Hana uhakika wa mavazi,

Hana uhakika wa elimu,

Hana uhakika wa matibabu.

Hana uhakika wa kipato.
 
Maskin,

1. utasikia nataka chips 🍟 za buku za kushiba..
2. Miguu kazi kuu ni kupandia kwenye kitanda, na siyo kuitembelea..
 
Maskini WA vitu/Mali au akili?

Anyway! Kama Ni suala la ukwasi, hawezi kuwa na akiba. Matumizi Ni mengi/makubwa kuliko alichonacho.
 
Back
Top Bottom