Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,223
- 7,993
Kila mbabe ana mbabe wake mkuu!
!
Mamba Mchumba Tu Kwa Jaguar. Anafatwa Huko Huko Mtoni Anakamatwa Anavutwa Nje Analiwa Vizuri Tu Bila Shida Yoyote Mkuu. Hawezi Kuwa Mfalme Fala Hivyo.
Kwani inaliwa?Nasikia nyongo yake ,ni sumu kali sana!inaweza kuuwa ata kijj kizima?Code:[IMG][/IMG]
!
!
Mamba Mchumba Tu Kwa Jaguar. Anafatwa Huko Huko Mtoni Anakamatwa Anavutwa Nje Analiwa Vizuri Tu Bila Shida Yoyote Mkuu. Hawezi Kuwa Mfalme Fala Hivyo.
Kumbuka kuna aina fulani ya chui, mamba ndio chakula chake. Ana mdaka tu kama wewe unavyomdaka kuku, hata akiwa kwenye maji anamfuata huko.
yaah nilimaanisha chui. huyo ni balaa kwa kweliBila shaka ulimaanisha ‘aina fulani ya chui’
Ni Jaguar
Dadeki. Pamoja ivugaWewe mwandishi ni mpemba au mtu wa Omani au mombasa?
Nimependa kiswahili chako.
Asante kwa elimu nzuri
ndiye duma heee??Bila shaka ulimaanisha ‘aina fulani ya chui’
Ni Jaguar
Sio duma anaitwa jagwandiye duma heee??
Anawaua sana wakazi wa sehemu hizo,hasa hapa Old Korogwe ambako mto Ruvu umepita,wananchi wa hapa wanaliwa haswaa.Huyu mnyama ni katili, kwa maelezo zaidi nenda sehemy zilizopita mto ruvu kama ,ngombezi korogwe ,utapata shuhuda zake
Ni kwasababu anamvunja fuvu na kufa hapo hapo.!
!
Mamba Mchumba Tu Kwa Jaguar. Anafatwa Huko Huko Mtoni Anakamatwa Anavutwa Nje Analiwa Vizuri Tu Bila Shida Yoyote Mkuu. Hawezi Kuwa Mfalme Fala Hivyo.
Umesahau sifa moja kubwa ya mamba ya kujiviringisha ili kuuwa kitoweo (death roll).Mjue Mnyama Mamba kwa undani wake
Tembo mfalme ??ufalme nchi kavu?
simba
tembo uwaweke wapi?
Hapana sio mfalme ila ni mkuu wa wafalme!Tembo mfalme ??