Sielewi wairan wanaandamania nini?

Sielewi wairan wanaandamania nini?

If Iran falls from inside and there is a complete regime change, the Iranian people should expect that Israel and the US will bomb the entire infrastructure and military structure, just like Saddam Hussein's Iraq, Assad's Syria, and Libya.. They are waiting for this moment.
 
Hawa watakuja kujuta kama Walibya tu.

Kwa tuliowahi kuishi Iran tunajua kule viongozi wao na wananchi wao wana msemo wao kwamba "Iran is made for Iranians".... huo msemo hutumika kulenga kwenye rasilimali zao kwamba zipo kwa ajili ya kunufaisha Wairan

Kule Iran mafisadi hukiona cha moto, wavunja sheria wanashughulikiwa haijalishi we ni bilionea au nani ukiwepa kodi au kutakatisha pesa au ukiibia nchi mapesa ukaenda ficha nje unakula kitanzi tena hadharani.

Vyakula ni bei rahisi sana, ukiwa na milioni moja ya Bongo pale Iran unasavaivu mwaka mzima, vyakula ni bei chee sana hususan mchele tena ule wa Basmat.
Kwa ambao ni wachanga nawakumbusha tu kuwa Ni wairan hao hao waliandamana kumtoa Shah wakitaka mfumo wa Kiislam, ni Wairan hawa hawa walipiga kura ya maoni kwa asilimia 95 wakitaka nchi yao iongozwe na mfumo wa kiislam kwa kiasi fulani....
Gesi, mafuta ni bei rahisi sana umeme ni masaa 24, huduma za afya zipo vizuri sana kule mtu kufa kwa kukosa dawa au matibabu ni nadra sana kitiba wapo vizur sana.

Watu wanapata vitu vya msingi karibia vyote ndo maana hawakimbii nchi yao.. Changamoto ambayo ipo ni vikwazo tu na suala la ajira lakini serikali inatoa fungu la kila mwezi kwa wasio na ajira.

Ukiangalia ndo nchi yenye wanasayansi wengi wanawake wa kule ni wasomi sana.

Wana viongozi wazalendo ambao hawauzi bandari zao kwa mikataba ya kibwege,hawauzi gesi na madini kwa kubadilishana na condom na vilainishi kama huku.Venezuela ni kama tz tu nchi ilikua inaendeshwa kihuni watu wanatekwa hali mbaya na ufisadi wa kutisha....

Sijui wanaandamania nini? Matatizo yao wanafahamu fika yanasababishwa na vikwazo.....Imagine Iran wasingekua na vikwazo wangekua level ya Japan...

Sisi ndo tunapaswa kuandamana maana hii nchi yetu imeoza kila pahali, ccm wameigeuza hii nchi kuwa mnada na chaka la upigaji, huu ujinga huwezi kuukuta Iran...Na mazuri yote wanajazwa upepo waandamane...

Libya,Iran, Qatar, Kuwait, UAE,Oman ndo nchi ambazo watu wake hawapaswi kuandamana kabisa maana viongozi wao ni wazalendo na wameleta maendeleo makubwa sana

My take:Wairan watajuta mara elfu zaidi ya walibya....Hawajui wanachoandamania....
Kule kuna majasusi wa Mossad na CIA ndio wanaochochea maandamano kwa maslahi ya Israel na Marekani, na wanaoandamana wengi wanakua nyumbu tu hawaelewi athari za wanachokifanya. Umeongea point muhimu kua Iran inasumbuliwa na vikwazo tu vya Marekani na kinachowaponza ni kua wamekataaa kua vibaraka kama Saudia na UAe
 
Iran maisha ni magumu Sana tatizo waislam hutanguliza takiya kuliko ukweli

nilikuwa na rafiki yangu mzanzibar Jana akikuelezea kuhusu Iran km sio mfuatiliaji unamuamini🤣🤣

waislam kwenye kufichiana uchafu hawajambo
 
Ayatollah na genge lake wanaona sifa kuimba "death to america" huku hamna kitu cha maana wanachofanya. Nchi haina maji, umeme, ajira hizo rasilimali zinawasaidia nini wananchi? Watu wamechoka kuisha kama mazombi kama wabongo walivyoichoka ccm ya samuya.
JF bwana, kwahiyo kwa akili zako unadhani kiongozi anayekuja baadaya Khamenei ndio atakua friendly kwa US? hizi assumptions mnatoaga wapi? If anything atakua extremist kuliko sasa. Kwani mapinduzi ya 1978/9 hapo Iran walitarajia nini na wakaishia kupata nini?
 
Hakuna nchi ya kidikteta ambayo wananchi wana maisha mazuri. Hizi nchi zina vitu in common; Uongozi mbovu na umasikini wa raia wake. Ni aheri nchi za kifalme.

Huwezi mtawala kidikteta mtu mwenye maisha standard.

(Russia tuiweke kama exception)
Something something Saudia!! Au sababu ni ally wa USA basi automatically anakua sio dikteta?
 
Hawa watakuja kujuta kama Walibya tu.

Kwa tuliowahi kuishi Iran tunajua kule viongozi wao na wananchi wao wana msemo wao kwamba "Iran is made for Iranians".... huo msemo hutumika kulenga kwenye rasilimali zao kwamba zipo kwa ajili ya kunufaisha Wairan

Kule Iran mafisadi hukiona cha moto, wavunja sheria wanashughulikiwa haijalishi we ni bilionea au nani ukiwepa kodi au kutakatisha pesa au ukiibia nchi mapesa ukaenda ficha nje unakula kitanzi tena hadharani.

Vyakula ni bei rahisi sana, ukiwa na milioni moja ya Bongo pale Iran unasavaivu mwaka mzima, vyakula ni bei chee sana hususan mchele tena ule wa Basmat.
Kwa ambao ni wachanga nawakumbusha tu kuwa Ni wairan hao hao waliandamana kumtoa Shah wakitaka mfumo wa Kiislam, ni Wairan hawa hawa walipiga kura ya maoni kwa asilimia 95 wakitaka nchi yao iongozwe na mfumo wa kiislam kwa kiasi fulani....
Gesi, mafuta ni bei rahisi sana umeme ni masaa 24, huduma za afya zipo vizuri sana kule mtu kufa kwa kukosa dawa au matibabu ni nadra sana kitiba wapo vizur sana.

Watu wanapata vitu vya msingi karibia vyote ndo maana hawakimbii nchi yao.. Changamoto ambayo ipo ni vikwazo tu na suala la ajira lakini serikali inatoa fungu la kila mwezi kwa wasio na ajira.

Ukiangalia ndo nchi yenye wanasayansi wengi wanawake wa kule ni wasomi sana.

Wana viongozi wazalendo ambao hawauzi bandari zao kwa mikataba ya kibwege,hawauzi gesi na madini kwa kubadilishana na condom na vilainishi kama huku.Venezuela ni kama tz tu nchi ilikua inaendeshwa kihuni watu wanatekwa hali mbaya na ufisadi wa kutisha....

Sijui wanaandamania nini? Matatizo yao wanafahamu fika yanasababishwa na vikwazo.....Imagine Iran wasingekua na vikwazo wangekua level ya Japan...

Sisi ndo tunapaswa kuandamana maana hii nchi yetu imeoza kila pahali, ccm wameigeuza hii nchi kuwa mnada na chaka la upigaji, huu ujinga huwezi kuukuta Iran...Na mazuri yote wanajazwa upepo waandamane...

Libya,Iran, Qatar, Kuwait, UAE,Oman ndo nchi ambazo watu wake hawapaswi kuandamana kabisa maana viongozi wao ni wazalendo na wameleta maendeleo makubwa sana

My take:Wairan watajuta mara elfu zaidi ya walibya....Hawajui wanachoandamania....
Taarifa hii kuhusu Iran inaonyesha upande mmoja tu wa hali halisi na inahitaji kukosolewa kwa uwiano.

Kwanza, madai kwamba “mafiasadi hukiona cha moto” si sahihi kikamilifu; Iran imekumbwa mara nyingi na tuhuma za ufisadi wa kifisadi wa kisiasa na kiuchumi, na si kila mtu mwenye nguvu hushughulikiwa kwa usawa.

Pili, hoja kwamba gharama za maisha ni nafuu sana pia ni ya kupotosha. Ingawa mafuta na gesi ni bei nafuu, mfumuko wa bei na kushuka kwa thamani ya sarafu ya Iran vimeathiri vibaya uwezo wa wananchi kununua bidhaa za msingi.

-Mfumuko wa bei Ulifikia 48.6% Oktoba 2025 na 42.2% Desemba 2025.

-Umasikini, Kati ya 27%–50% ya Wairan wanaishi chini ya mstari wa umasikini

-Lishe, 57% ya Wairan waliripotiwa kuwa na kiwango fulani cha utapiamlo (2024)

-Sarafu, thamani ya Rial imeshuka sana; dola moja ya Marekani ilivuka 100,000 tomans Machi 2025

-Ajira, ushiriki wa nguvu kazi uko chini licha ya kupungua kwa kiwango cha ukosefu

Tatu, huduma za afya na dawa si bora kwa kiwango kinachodaiwa; vikwazo vya kimataifa vimeathiri upatikanaji wa dawa na vifaa vya matibabu, na wananchi wengi wamelalamika kuhusu uhaba. Aidha, madai kwamba watu hawakimbii nchi si sahihi, kwani mamilioni ya Wairan wamehama kutokana na ukandamizaji wa kisiasa, ukosefu wa ajira na uhuru mdogo wa kiraia.

Kuhusu wanawake, ni kweli wako wasomi, lakini pia wanakabiliwa na vizuizi vikubwa vya kijamii na kisiasa.

Hatimaye, kusema kwamba wananchi hawapaswi kuandamana ni kupuuza ukweli kwamba maandamano mara nyingi hutokana na ukosefu wa uhuru, ukandamizaji wa haki za binadamu na matatizo ya kiuchumi. Iran si mfano wa ukamilifu bali taifa lenye changamoto kubwa zinazohitaji kutazamwa kwa uhalisia.
 
JF bwana, kwahiyo kwa akili zako unadhani kiongozi anayekuja baadaya Khamenei ndio atakua friendly kwa US? hizi assumptions mnatoaga wapi? If anything atakua extremist kuliko sasa. Kwani mapinduzi ya 1978/9 hapo Iran walitarajia nini na wakaishia kupata nini?
Wanalenga kumleta Prince Pahlavi, mtoto wa Mohamed Reza Pahlavi aliyeondolewa mwaka 1979.
 
Mambo ya Iran waachie wa 'Iran. Hata hapa kwetu Tanzania,kuna watu wanaweza kuuliza kuwa raia mnaichukia serikali yenu kwanini mbona inawapa kila kitu.
 
Hawa watakuja kujuta kama Walibya tu.

Kwa tuliowahi kuishi Iran tunajua kule viongozi wao na wananchi wao wana msemo wao kwamba "Iran is made for Iranians".... huo msemo hutumika kulenga kwenye rasilimali zao kwamba zipo kwa ajili ya kunufaisha Wairan

Kule Iran mafisadi hukiona cha moto, wavunja sheria wanashughulikiwa haijalishi we ni bilionea au nani ukiwepa kodi au kutakatisha pesa au ukiibia nchi mapesa ukaenda ficha nje unakula kitanzi tena hadharani.

Vyakula ni bei rahisi sana, ukiwa na milioni moja ya Bongo pale Iran unasavaivu mwaka mzima, vyakula ni bei chee sana hususan mchele tena ule wa Basmat.
Kwa ambao ni wachanga nawakumbusha tu kuwa Ni wairan hao hao waliandamana kumtoa Shah wakitaka mfumo wa Kiislam, ni Wairan hawa hawa walipiga kura ya maoni kwa asilimia 95 wakitaka nchi yao iongozwe na mfumo wa kiislam kwa kiasi fulani....
Gesi, mafuta ni bei rahisi sana umeme ni masaa 24, huduma za afya zipo vizuri sana kule mtu kufa kwa kukosa dawa au matibabu ni nadra sana kitiba wapo vizur sana.

Watu wanapata vitu vya msingi karibia vyote ndo maana hawakimbii nchi yao.. Changamoto ambayo ipo ni vikwazo tu na suala la ajira lakini serikali inatoa fungu la kila mwezi kwa wasio na ajira.

Ukiangalia ndo nchi yenye wanasayansi wengi wanawake wa kule ni wasomi sana.

Wana viongozi wazalendo ambao hawauzi bandari zao kwa mikataba ya kibwege,hawauzi gesi na madini kwa kubadilishana na condom na vilainishi kama huku.Venezuela ni kama tz tu nchi ilikua inaendeshwa kihuni watu wanatekwa hali mbaya na ufisadi wa kutisha....

Sijui wanaandamania nini? Matatizo yao wanafahamu fika yanasababishwa na vikwazo.....Imagine Iran wasingekua na vikwazo wangekua level ya Japan...

Sisi ndo tunapaswa kuandamana maana hii nchi yetu imeoza kila pahali, ccm wameigeuza hii nchi kuwa mnada na chaka la upigaji, huu ujinga huwezi kuukuta Iran...Na mazuri yote wanajazwa upepo waandamane...

Libya,Iran, Qatar, Kuwait, UAE,Oman ndo nchi ambazo watu wake hawapaswi kuandamana kabisa maana viongozi wao ni wazalendo na wameleta maendeleo makubwa sana

My take:Wairan watajuta mara elfu zaidi ya walibya....Hawajui wanachoandamania....
VITA SHISHAA UKIMALIZA TULUJJBUU

CHANGANYA NA OG SKANSKA LAKN KWA NDAN
 
Lakini tawala zinazofosi watu wawe mashoga unapaswa kuachwa s ndio

Wewe nikikuambia uchague kati ya kuwa shoga na kulawilitiwa au mke wako avae mavazi ya heshima utachagua kipi?
Tawala zipi zinafosi watu kuwa mashoga?
 
Lakini tawala zinazofosi watu wawe mashoga unapaswa kuachwa s ndio

Wewe nikikuambia uchague kati ya kuwa shoga na kulawilitiwa au mke wako avae mavazi ya heshima utachagua kipi?

Hakuna utawala unafosi watu kuwa mashoga, hayo ni maamuzi ya watu binafsi kwenye uhuru wao, ila sasa uislamu umekua kero kwa Iran kufosi kila mtu afuate mambo yao, unafosi mtu kwenye masuala ya imani ilhali wewe hapo huna uwezo wa kudhirisha uwepo wa huyo 'mungu' wako mnywa damu.
 
Hawa watakuja kujuta kama Walibya tu.

Kwa tuliowahi kuishi Iran tunajua kule viongozi wao na wananchi wao wana msemo wao kwamba "Iran is made for Iranians".... huo msemo hutumika kulenga kwenye rasilimali zao kwamba zipo kwa ajili ya kunufaisha Wairan

Kule Iran mafisadi hukiona cha moto, wavunja sheria wanashughulikiwa haijalishi we ni bilionea au nani ukiwepa kodi au kutakatisha pesa au ukiibia nchi mapesa ukaenda ficha nje unakula kitanzi tena hadharani.

Vyakula ni bei rahisi sana, ukiwa na milioni moja ya Bongo pale Iran unasavaivu mwaka mzima, vyakula ni bei chee sana hususan mchele tena ule wa Basmat.
Kwa ambao ni wachanga nawakumbusha tu kuwa Ni wairan hao hao waliandamana kumtoa Shah wakitaka mfumo wa Kiislam, ni Wairan hawa hawa walipiga kura ya maoni kwa asilimia 95 wakitaka nchi yao iongozwe na mfumo wa kiislam kwa kiasi fulani....
Gesi, mafuta ni bei rahisi sana umeme ni masaa 24, huduma za afya zipo vizuri sana kule mtu kufa kwa kukosa dawa au matibabu ni nadra sana kitiba wapo vizur sana.

Watu wanapata vitu vya msingi karibia vyote ndo maana hawakimbii nchi yao.. Changamoto ambayo ipo ni vikwazo tu na suala la ajira lakini serikali inatoa fungu la kila mwezi kwa wasio na ajira.

Ukiangalia ndo nchi yenye wanasayansi wengi wanawake wa kule ni wasomi sana.

Wana viongozi wazalendo ambao hawauzi bandari zao kwa mikataba ya kibwege,hawauzi gesi na madini kwa kubadilishana na condom na vilainishi kama huku.Venezuela ni kama tz tu nchi ilikua inaendeshwa kihuni watu wanatekwa hali mbaya na ufisadi wa kutisha....

Sijui wanaandamania nini? Matatizo yao wanafahamu fika yanasababishwa na vikwazo.....Imagine Iran wasingekua na vikwazo wangekua level ya Japan...

Sisi ndo tunapaswa kuandamana maana hii nchi yetu imeoza kila pahali, ccm wameigeuza hii nchi kuwa mnada na chaka la upigaji, huu ujinga huwezi kuukuta Iran...Na mazuri yote wanajazwa upepo waandamane...

Libya,Iran, Qatar, Kuwait, UAE,Oman ndo nchi ambazo watu wake hawapaswi kuandamana kabisa maana viongozi wao ni wazalendo na wameleta maendeleo makubwa sana

My take:Wairan watajuta mara elfu zaidi ya walibya....Hawajui wanachoandamania....
Kimsboy: Unajiuliza Mkuu? Jamaa zako wamekuwa possessed na Israel na Amerika! Wakilala "Death to America" "Death to Israel" Wakiamka wimbo nu ni huo huo! Miaka na Miaka! Huu wimbo umewachosha wananchi wake! Unajua ni mamilioni mangapi wamepoteza Kwa Hezbollah? Kwa HAMAS? Syria?Wairan wangapi wamepoteza maisha yao Lebanon! Laiti angalau ungesema wamekeza na pesa itarudi! Hakuna lolote lile walilopata!

Kina Ayatollah inabidi waje na jipya, Hiyo Israel itawapotezea muda tu! Wayaachie mataifa mengine ya Kiislamu hayo mapandano, wao wamefanya sehemu yao, wasipoangalia mtoto wa Shah atarudi!

Wana mafuta na wangefanya mengi kwa Wananchi wake kama Saudia! Unadhani wenzao wajinga!

Inasikitisha sana jamaa yangu!
 
Hawa watakuja kujuta kama Walibya tu.

Kwa tuliowahi kuishi Iran tunajua kule viongozi wao na wananchi wao wana msemo wao kwamba "Iran is made for Iranians".... huo msemo hutumika kulenga kwenye rasilimali zao kwamba zipo kwa ajili ya kunufaisha Wairan

Kule Iran mafisadi hukiona cha moto, wavunja sheria wanashughulikiwa haijalishi we ni bilionea au nani ukiwepa kodi au kutakatisha pesa au ukiibia nchi mapesa ukaenda ficha nje unakula kitanzi tena hadharani.

Vyakula ni bei rahisi sana, ukiwa na milioni moja ya Bongo pale Iran unasavaivu mwaka mzima, vyakula ni bei chee sana hususan mchele tena ule wa Basmat.
Kwa ambao ni wachanga nawakumbusha tu kuwa Ni wairan hao hao waliandamana kumtoa Shah wakitaka mfumo wa Kiislam, ni Wairan hawa hawa walipiga kura ya maoni kwa asilimia 95 wakitaka nchi yao iongozwe na mfumo wa kiislam kwa kiasi fulani....
Gesi, mafuta ni bei rahisi sana umeme ni masaa 24, huduma za afya zipo vizuri sana kule mtu kufa kwa kukosa dawa au matibabu ni nadra sana kitiba wapo vizur sana.

Watu wanapata vitu vya msingi karibia vyote ndo maana hawakimbii nchi yao.. Changamoto ambayo ipo ni vikwazo tu na suala la ajira lakini serikali inatoa fungu la kila mwezi kwa wasio na ajira.

Ukiangalia ndo nchi yenye wanasayansi wengi wanawake wa kule ni wasomi sana.

Wana viongozi wazalendo ambao hawauzi bandari zao kwa mikataba ya kibwege,hawauzi gesi na madini kwa kubadilishana na condom na vilainishi kama huku.Venezuela ni kama tz tu nchi ilikua inaendeshwa kihuni watu wanatekwa hali mbaya na ufisadi wa kutisha....

Sijui wanaandamania nini? Matatizo yao wanafahamu fika yanasababishwa na vikwazo.....Imagine Iran wasingekua na vikwazo wangekua level ya Japan...

Sisi ndo tunapaswa kuandamana maana hii nchi yetu imeoza kila pahali, ccm wameigeuza hii nchi kuwa mnada na chaka la upigaji, huu ujinga huwezi kuukuta Iran...Na mazuri yote wanajazwa upepo waandamane...

Libya,Iran, Qatar, Kuwait, UAE,Oman ndo nchi ambazo watu wake hawapaswi kuandamana kabisa maana viongozi wao ni wazalendo na wameleta maendeleo makubwa sana

My take:Wairan watajuta mara elfu zaidi ya walibya....Hawajui wanachoandamania....
Sio warani wanao andamana ni watu kutoka nchi jirani
 
Shithole wakati hiyo hiyo serikali ya kiislam iliwekwa na wananchi wenyewe?
Binadamu wanaweza kukuweka mwaka huu madarakani halafu mwaka kesho tu wakakuchoka na kukutaka uondoke kabisa, sasa huo Utawala wa Ayatollah uko tangu mapinduzi ya 1979 na huwa haupigiwi kura, makamu wanachaguana wenyewe tu.
 
Hakuna nchi ya kidikteta ambayo wananchi wana maisha mazuri. Hizi nchi zina vitu in common; Uongozi mbovu na umasikini wa raia wake. Ni aheri nchi za kifalme.

Huwezi mtawala kidikteta mtu mwenye maisha standard.

(Russia tuiweke kama exception)
Nchi za Kifalme ambazo sio ufalme wa kikatiba(constitutional monarchy) kama Saudi Arabia ni za kidikiteta. Pia zipo nchi za kidikiteta zenye maisha mazuri kiasi kama China, Vietnam, Saudi Arabia, Oman n.k
 
Absolutely monarchy they are. Unadhani hats sisi tungekuwa nchi ya kifalme tungevutana?
Tusingevutana kama wote tungekuwa dini moja na kabila moja. Kwa makabila zaidi ya 100 na hizo dini kuu mbili labda huo ufalme ungekuwa unapokezanwa kwa dini kati ya Kobaz na Wagalatia na makabila tofauti kila mwaka ndio tusingechapana kama wendawazimu.
 
Back
Top Bottom