Sielewi wairan wanaandamania nini?

Sielewi wairan wanaandamania nini?

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,120
Reaction score
24,398
Hawa watakuja kujuta kama Walibya tu.

Kwa tuliowahi kuishi Iran tunajua kule viongozi wao na wananchi wao wana msemo wao kwamba "Iran is made for Iranians".... huo msemo hutumika kulenga kwenye rasilimali zao kwamba zipo kwa ajili ya kunufaisha Wairan

Kule Iran mafisadi hukiona cha moto, wavunja sheria wanashughulikiwa haijalishi we ni bilionea au nani ukiwepa kodi au kutakatisha pesa au ukiibia nchi mapesa ukaenda ficha nje unakula kitanzi tena hadharani.

Vyakula ni bei rahisi sana, ukiwa na milioni moja ya Bongo pale Iran unasavaivu mwaka mzima, vyakula ni bei chee sana hususan mchele tena ule wa Basmat.
Kwa ambao ni wachanga nawakumbusha tu kuwa Ni wairan hao hao waliandamana kumtoa Shah wakitaka mfumo wa Kiislam, ni Wairan hawa hawa walipiga kura ya maoni kwa asilimia 95 wakitaka nchi yao iongozwe na mfumo wa kiislam kwa kiasi fulani....
Gesi, mafuta ni bei rahisi sana umeme ni masaa 24, huduma za afya zipo vizuri sana kule mtu kufa kwa kukosa dawa au matibabu ni nadra sana kitiba wapo vizur sana.

Watu wanapata vitu vya msingi karibia vyote ndo maana hawakimbii nchi yao.. Changamoto ambayo ipo ni vikwazo tu na suala la ajira lakini serikali inatoa fungu la kila mwezi kwa wasio na ajira.

Ukiangalia ndo nchi yenye wanasayansi wengi wanawake wa kule ni wasomi sana.

Wana viongozi wazalendo ambao hawauzi bandari zao kwa mikataba ya kibwege,hawauzi gesi na madini kwa kubadilishana na condom na vilainishi kama huku.Venezuela ni kama tz tu nchi ilikua inaendeshwa kihuni watu wanatekwa hali mbaya na ufisadi wa kutisha....

Sijui wanaandamania nini? Matatizo yao wanafahamu fika yanasababishwa na vikwazo.....Imagine Iran wasingekua na vikwazo wangekua level ya Japan...

Sisi ndo tunapaswa kuandamana maana hii nchi yetu imeoza kila pahali, ccm wameigeuza hii nchi kuwa mnada na chaka la upigaji, huu ujinga huwezi kuukuta Iran...Na mazuri yote wanajazwa upepo waandamane...

Libya,Iran, Qatar, Kuwait, UAE,Oman ndo nchi ambazo watu wake hawapaswi kuandamana kabisa maana viongozi wao ni wazalendo na wameleta maendeleo makubwa sana

My take:Wairan watajuta mara elfu zaidi ya walibya....Hawajui wanachoandamania....
 
Wewe unaijua Iran kuliko wairan wenyewe? Wairan wote ndoto yao ni kuondoka kwenye ile shithole of a country ambayo ayatollah na genge lake wamefanya kama mali yako.

Hiyo 1M ya bongo Iran unaitoa wapi wakati serikali imehodhi kila kitu? Urasimu uliopo Iran hata bongo uliisha miaka ya Nyerere ila kule bado unaendelea, huu ni ujinga wao sio sababu ya vikwazo.

Ayatollah na genge lake wanaona sifa kuimba "death to america" huku hamna kitu cha maana wanachofanya. Nchi haina maji, umeme, ajira hizo rasilimali zinawasaidia nini wananchi? Watu wamechoka kuishi kama mazombi kama wabongo walivyoichoka ccm ya samuya.

Ninawajua iranians kadhaa na napenda kwenda kwenye restaurants zao ukisikiliza story zao utahisi bongo tunaishi mbinguni.
 
Hakuna nchi ya kidikteta ambayo wananchi wana maisha mazuri. Hizi nchi zina vitu in common; Uongozi mbovu na umasikini wa raia wake. Ni aheri nchi za kifalme.

Huwezi mtawala kidikteta mtu mwenye maisha standard.

(Russia tuiweke kama exception)
 
Wewe unaijua Iran kuliko wairan wenyewe? Wairan wote ndoto yao ni kuondoka kwenye ile shithole of a country ambayo ayatollah na genge lake wamefanya kama mali yako.

Hiyo 1M ya bongo Iran unaitoa wapi wakati serikali imehodhi kila kitu? Urasimu uliopo Iran hata bongo uliisha miaka ya Nyerere ila kule bado unaendelea, huu ni ujinga wao sio sababu ya vikwazo.

Ayatollah na genge lake wanaona sifa kuimba "death to america" huku hamna kitu cha maana wanachofanya. Nchi haina maji, umeme, ajira hizo rasilimali zinawasaidia nini wananchi? Watu wamechoka kuisha kama mazombi kama wabongo walivyoichoka ccm ya samuya.

Ninawajua iranians kadhaa na napenda kweli kwenda kwenye restaurants zao ukisikiliza story zao utadhani bongo tunaishi mbinguni.
Mwambie huyo kiazi anaejifanya ameishi Iran, sjui kaishi Iran ya mabwepande au ya wapi?
 
Hawa watakuja kujuta kama Walibya tu.

Kwa tuliowahi kuishi Iran tunajua kule viongozi wao na wananchi wao wana msemo wao kwamba "Iran is made for Iranians".... huo msemo hutumika kulenga kwenye rasilimali zao kwamba zipo kwa ajili ya kunufaisha Wairan

Kule Iran mafisadi hukiona cha moto, wavunja sheria wanashughulikiwa haijalishi we ni bilionea au nani ukiwepa kodi au kutakatisha pesa au ukiibia nchi mapesa ukaenda ficha nje unakula kitanzi tena hadharani.

Vyakula ni bei rahisi sana, ukiwa na milioni moja ya Bongo pale Iran unasavaivu mwaka mzima, vyakula ni bei chee sana hususan mchele tena ule wa Basmat.
Kwa ambao ni wachanga nawakumbusha tu kuwa Ni wairan hao hao waliandamana kumtoa Shah wakitaka mfumo wa Kiislam, ni Wairan hawa hawa walipiga kura ya maoni kwa asilimia 95 wakitaka nchi yao iongozwe na mfumo wa kiislam kwa kiasi fulani....
Gesi, mafuta ni bei rahisi sana umeme ni masaa 24, huduma za afya zipo vizuri sana kule mtu kufa kwa kukosa dawa au matibabu ni nadra sana kitiba wapo vizur sana.

Watu wanapata vitu vya msingi karibia vyote ndo maana hawakimbii nchi yao.. Changamoto ambayo ipo ni vikwazo tu na suala la ajira lakini serikali inatoa fungu la kila mwezi kwa wasio na ajira.

Ukiangalia ndo nchi yenye wanasayansi wengi wanawake wa kule ni wasomi sana.

Wana viongozi wazalendo ambao hawauzi bandari zao kwa mikataba ya kibwege,hawauzi gesi na madini kwa kubadilishana na condom na vilainishi kama huku.Venezuela ni kama tz tu nchi ilikua inaendeshwa kihuni watu wanatekwa hali mbaya na ufisadi wa kutisha....

Sijui wanaandamania nini? Matatizo yao wanafahamu fika yanasababishwa na vikwazo.....Imagine Iran wasingekua na vikwazo wangekua level ya Japan...

Sisi ndo tunapaswa kuandamana maana hii nchi yetu imeoza kila pahali, ccm wameigeuza hii nchi kuwa mnada na chaka la upigaji, huu ujinga huwezi kuukuta Iran...Na mazuri yote wanajazwa upepo waandamane...

Libya,Iran, Qatar, Kuwait, UAE,Oman ndo nchi ambazo watu wake hawapaswi kuandamana kabisa maana viongozi wao ni wazalendo na wameleta maendeleo makubwa sana

My take:Wairan watajuta mara elfu zaidi ya walibya....Hawajui wanachoandamania....
Iran issue kubwa Hawana mpango na raia ndio tatizo kubwa alafu hukumu za kikatiri zinazoendeshwa hadharani zinawaletea huzini kuu, Issue ya kusema chakula ni bei poa hapana kuna documentari za watalii kuzunguka na tamaduni za wairan street restraurant misosi ni mizuri ila ina bei mno, kumbuka irani haswa Teheran kuna raia zaidi ya 15 million so imagine kunahitaji mifumo yote iwe sawa like umeme,Seawage,drinking water Gas system barabara,mitaro n.k

Mara kibao kuna issue wa air pollution kuna wakati inakwa kama giza la moshi kuonana issue magari mengi viwanda vinachakata moshi angani n.k

wingi wa viwanda umesababisha upungufu wa maji miundo mbinu na vyazo vya maji umechepushwa kuelekea maji yaende viwandani kupooza mitambo, na Irani imekomalia neucrear ambayo nayo inahitai maji mengi sana kupooza, Mvua imekuwa ni issue kunyeesha, Madawa kutokana na vikwazo imekuwa ni issue,

Uhuru wa habari ni mdogo, ukiikosoa serikali wanakupa kesi kubwa haswa utaambiwa wewe ni agent wa Israel Mosad n.k uonevu umekuwa ni mkubwa. iachosha.

Thamani ya pesa tokea nilipoanza kuisikia ukilinganisha na Dollar like elfu elfu nane now ni million na ushenzi imagie unaagizaje bidhaa nje ya nchi ili uagize airpod ya dollar 10 basi ukachange rial million kumi ili ununue 10 usd kha. kuandamana haki yao Serikali imebase kutaka kuiangamiza Israel isiyowakosea kwa lolote eti wana machungu na walebanon na Waarab wa Palestina, ndio wajue hao wanaowatetea kama watawasapoti kipind cha maandamano.

Iran mara nyingi anaambiwa aishi kama nchi zingine wanavyoishi wao hawtaki kila siku Death to Israel Death to America. sijui wanapata nini wanapenda ugomvi wa kulazimisha... Tuuite Undava
 
Wewe unaijua Iran kuliko wairan wenyewe? Wairan wote ndoto yao ni kuondoka kwenye ile shithole of a country ambayo ayatollah na genge lake wamefanya kama mali yako.

Hiyo 1M ya bongo Iran unaitoa wapi wakati serikali imehodhi kila kitu? Urasimu uliopo Iran hata bongo uliisha miaka ya Nyerere ila kule bado unaendelea, huu ni ujinga wao sio sababu ya vikwazo.

Ayatollah na genge lake wanaona sifa kuimba "death to america" huku hamna kitu cha maana wanachofanya. Nchi haina maji, umeme, ajira hizo rasilimali zinawasaidia nini wananchi? Watu wamechoka kuisha kama mazombi kama wabongo walivyoichoka ccm ya samuya.

Ninawajua iranians kadhaa na napenda kweli kwenda kwenye restaurants zao ukisikiliza story zao utadhani bongo tunaishi mbinguni.
Shithole wakati hiyo hiyo serikali ya kiislam iliwekwa na wananchi wenyewe?
 
Bado nakumbuka penzi la mtoto wa ki Iran wakati nasoma London, nililokoseshwa na ayatollah, maana aliniambia twende kwao nikapeleke posa, nikaona mhhh... hapana
Sasa vinahusianaje
 
Hakuna nchi ya kidikteta ambayo wananchi wana maisha mazuri. Hizi nchi zina vitu in common; Uongozi mbovu na umasikini wa raia wake. Ni aheri nchi za kifalme.

Huwezi mtawala kidikteta mtu mwenye maisha standard.

(Russia tuiweke kama exception)
Udikteta upi upo Iran?
 
Waswahili wanasema kitanda usichokilalia huwezi kujua wingi wa kunguni.
Kuna watu pia huko mataifa jirani wanajiuliza hivi kwanini Watanzania waliingia barabarani Oct 29 wakati nchi yao ni nzuri ina amani?!
Amani ipi tumewahi kuwa nayo? Nchi inanuka rushwa, tozo na ufisadi?
 
Iran issue kubwa Hawana mpango na raia ndio tatizo kubwa alafu hukumu za kikatiri zinazoendeshwa hadharani zinawaletea huzini kuu, Issue ya kusema chakula ni bei poa hapana kuna documentari za watalii kuzunguka na tamaduni za wairan street restraurant misosi ni mizuri ila ina bei mno, kumbuka irani haswa Teheran kuna raia zaidi ya 15 million so imagine kunahitaji mifumo yote iwe sawa like umeme,Seawage,drinking water Gas system barabara,mitaro n.k

Mara kibao kuna issue wa air pollution kuna wakati inakwa kama giza la moshi kuonana issue magari mengi viwanda vinachakata moshi angani n.k

wingi wa viwanda umesababisha upungufu wa maji miundo mbinu na vyazo vya maji umechepushwa kuelekea maji yaende viwandani kupooza mitambo, na Irani imekomalia neucrear ambayo nayo inahitai maji mengi sana kupooza, Mvua imekuwa ni issue kunyeesha, Madawa kutokana na vikwazo imekuwa ni issue,

Uhuru wa habari ni mdogo, ukiikosoa serikali wanakupa kesi kubwa haswa utaambiwa wewe ni agent wa Israel Mosad n.k uonevu umekuwa ni mkubwa. iachosha.

Thamani ya pesa tokea nilipoanza kuisikia ukilinganisha na Dollar like elfu elfu nane now ni million na ushenzi imagie unaagizaje bidhaa nje ya nchi ili uagize airpod ya dollar 10 basi ukachange rial million kumi ili ununue 10 usd kha. kuandamana haki yao Serikali imebase kutaka kuiangamiza Israel isiyowakosea kwa lolote eti wana machungu na walebanon na Waarab wa Palestina, ndio wajue hao wanaowatetea kama watawasapoti kipind cha maandamano.

Iran mara nyingi anaambiwa aishi kama nchi zingine wanavyoishi wao hawtaki kila siku Death to Israel Death to America. sijui wanapata nini wanapenda ugomvi wa kulazimisha... Tuuite Undava
Umeandika ujinga na propaganda eti pollution eti moshi hadi watu wanashindwa kuonana?Stupid


China ni namba moja kwa pollution kwasababu ya viwanda vingi hilo unalosema lenyewe halipo...

Nimesoma hizo haya za mwanzo tu nikaidost post yangu maana umeandika vitu vya Low IQ kabisa
 
Kuna mdada Muiran nilikuwa napiga nae story ananiambia kilichotokea Venezuela anaomba kitokee na Iran pia.

Huenda kwa ground mambo sio mazuri kama mtazamo wa mtoa mada.
 
Utawala wowote unaolazimisha wanawake kufunika vichwa vyao kwa sababu za dini unatakiwa kupingwa vikali.

Utawala wowote unaowapangia wanaume style za kunyoa haufai

Utawala wowote ambao mkuu wa nchi anakuwa ni imamu na anaongoza nchi kwa muongozo wa kidini unatakiwa kupingwa vikali na kuangushwa, ni ujinga kuwa na theocracy katika Karne ya 21.
 
Amani ipi tumewahi kuwa nayo? Nchi inanuka rushwa, tozo na ufisadi?
The same applies to Iran. Wao wana matatizo yao ndio maana wanaandamana kupinga mfumo uliopo ila sisi wa nje hatuwezi kujua tunaona kila kitu shwari.
 
Utawala wowote unaolazimisha wanawake kufunika vichwa vyao kwa sababu za dini unatakiwa kupingwa vikali.

Utawala wowote unaowapangia wanaume style za kunyoa haufai

Utawala wowote ambao mkuu wa nchi anakuwa ni imamu na anaongoza nchi kwa muongozo wa kidini unatakiwa kupingwa vikali na kuangushwa, ni ujinga kuwa na theocracy katika Karne ya 21.
Lakini tawala zinazofosi watu wawe mashoga unapaswa kuachwa s ndio

Wewe nikikuambia uchague kati ya kuwa shoga na kulawilitiwa au mke wako avae mavazi ya heshima utachagua kipi?
 
Back
Top Bottom