Sielewi nini tatizo labda mnisaidie

Sielewi nini tatizo labda mnisaidie

Kwa mwandiko huo asiachwe kwa nini???????


imanihope mzima wewe???????????

balaa mjini

Jipange upya.

mmmh we mzoefu wewee!', ngoja zikubabue

My take ...waliosema fani hutambulisha maudhui hawakukosea ...you appear so rough how could I waste my time kukupa kick? Sana sana utaambulia hayah usomayo sasa...change...pia jua matumizi ya kila page zipo page za utani pia if you see tatizo lako lipo kiutani zaidi just go there but kama upo serious pia itakusaidia kwan humu wapo walio na upeo tofauti na udhaniavyo school boy...
 
Last edited by a moderator:
Ndo ushaachwa hivyo tena katikati ya mataa ya Ubungo, tafuta uelekeo wako kabla hujazolewa.
 
Matizo yako:
Unachanganya mambo,Huambiliki,Unajifanya mjuaji,Na bado hujitambui.

** unatakiwa ukue kidogo-Jiongoze.

Maandishi na majibu yako kwa baadhi ya wadau yanajieleza kwa kile nilichokisema.
 
NimeSahaU itaBidi niaNze mAzoezi yake. Hiyo GiV ndo bei gani??
HalaFu niMeeeskia SHOWER JELLLLY ndo siku hiZi zinaletaaa rahaaa zaiIdo.

Nasikia zile za alovera ni shidaah, kila siku ziko kenye promotion.

Nitumie namba yake nikuwekee sawa.
 
Hivi niNi haSa sabAbuza wAnaWakE kuaMua kukatA mawAsiliaNo gHafla na waPenzi wao.
Nina Mpenzi waNgu ameamua kukAta mawasiliano ghafla sasa sijui Ni taBia ya kiKe au ndo niShaaachwa.
Naombeni mnipe ushAuri au sababU zinazosababisha mtu kukatiWa mawasiliAno ghafla na mPenzi wake.

Angalia kp ambacho hukifanyi ulichokuwa unafanya mwanzo
 
Polee.. labda kunakitu umemkosea bila kujua na alivyoona umepotezea ndo akaamua kununa.. just saying
 
Polee.. labda kunakitu umemkosea bila kujua na alivyoona umepotezea ndo akaamua kununa.. just saying


AsaNte. Ila niMejiaNgalia hamNa nilichoMkoSea bali yEye tu mWenYewe kAamua kuniAcha ubungo NikijuA nangoja Ndege ya Fastjet
 
Kuvuja kwa pakacha mkuu,,,,,! Tena shukuru mungu kaondoka bila kukuibia! Sikuiz hakuna mapenzi, ni wizi tu !
 
Back
Top Bottom