Badilisha kwabza mwandiko ndio uje
Kusoma hujui hta picha huoni pole yako
Hujampa hela labda.
MkUu nimeHonGa niMetoA maheLaaa ilA ndo hIvyo no more Love Now for me. NkipatA binDukI ntAmRarua nKimUona
MkUu nimeHonGa niMetoA maheLaaa ilA ndo hIvyo no more Love Now for me. NkipatA binDukI ntAmRarua nKimUona
Hivi niNi haSa sabAbuza wAnaWakE kuaMua kukatA mawAsiliaNo gHafla na waPenzi wao.
Nina Mpenzi waNgu ameamua kukAta mawasiliano ghafla sasa sijui Ni taBia ya kiKe au ndo niShaaachwa.
Naombeni mnipe ushAuri au sababU zinazosababisha mtu kukatiWa mawasiliAno ghafla na mPenzi wake.
Maliza shule kwanza! Mapenzi baadae
Hivi niNi haSa sabAbuza wAnaWakE kuaMua kukatA mawAsiliaNo gHafla na waPenzi wao.
Nina Mpenzi waNgu ameamua kukAta mawasiliano ghafla sasa sijui Ni taBia ya kiKe au ndo niShaaachwa.
Naombeni mnipe ushAuri au sababU zinazosababisha mtu kukatiWa mawasiliAno ghafla na mPenzi wake.
MiMi siO mwAnAfuNzi bali nina KamPuni yaNgu shule nilMalZa sIku nYinGi saNa.
Wewe ni mwanafunzi
Teh Teh kusema ukweli ingekuwa ni vigumu wewe kuto achwa maana ni wazi uko rough! Unavyo kera watu kwa uandishi huu mbaya na wa ajabu ndivyo ulivyo mkera kwenye mambo mengine akakuchoka na kuamua kukuacha.utAki UnAaacha. Halafu hapa jf kumevamiwa na miwatyuuuyafesibuju na wanapostyiipumbaaa tyuu mpakajukwaaalimeanzaboa sikuhizi.