mkuu angalia vizuri atakua amesahau "kikojoleo" chake huko ndo maana inauma
Hahahaaa..imekatikiamo....
Hahahaaa..imekatikiamo....
mkuu angalia vizuri atakua amesahau "kikojoleo" chake huko ndo maana inauma
Nina mpenzi wangu tangu tumeanza mahusiano tumekaa mwaka bila kufanya mapenzi.
Wiki moja iliyopita tulifanya kwa mara ya kwanza.
Lakini sasa leo ni siku ya sita hii kitu bado inauma.
Embu nisaidieni ni kawaida nimekaa muda mrefu bila kuduu au jamaa atakuwa na kitu kikubwa kuliko kitu yangu au ni nini.
meza diclopar upumzike...pole!!!
Hahahaha!!Hehehe!!!imekatikiamo kichwa....JF never Die
ha ha ha akuuuuu....!!!!ushauri tu.hahahaha.......... from eksipiriensi au nn?
mmmh huo uchunguzi kama sio kujaribishia na yako uone kama ataumia sijui tu...!!!nitafute nikufanyie uchunguzi wa kitaalamu , usikute una kitu serious.
mmmh huo uchunguzi kama sio kujaribishia na yako uone kama ataumia sijui tu...!!!