Side hussle

Side hussle

Yan
Fanya uber hiyo ... kama ipn ndai ya uwezo wako... unatoboa fresh tu huna sababu ya kusita 6.

Fanya sasa!,
ndo nlikua nataka kufanya hivo kuchukua kama mkopo wa m6 hv m ntaongezea M afu nichukue vitz kipya kipya afu ntakua narejesha kdg kdg mkopo huo
Make nina biashara inayoniingizia ziad ya 20k per day
 
Yan

ndo nlikua nataka kufanya hivo kuchukua kama mkopo wa m6 hv m ntaongezea M afu nichukue vitz kipya kipya afu ntakua narejesha kdg kdg mkopo huo
Make nina biashara inayoniingizia ziad ya 20k per day
Huo mkopo tiba yake uko vipi pamona na muda wa marejesho??
 
Dogo injiniaring bado haijachanganya hapo,hiyo hela itunze soma kwanza,mziki wa kuomba poo bado haujaanza hapa na ukianza unaweza kudisco,fanya kilichokupeleka,endelea na biashara hiyo hiyo ya bajaj ambayo ulishaianza
 
Sijacrush kiivyo ila uber kwa upande wangu naona ni vision za mtu tusiyemjua so napenda mtu afanye investment ya muda wake kwa vision zake mwenyewe, dsm utaijua tu ni swala la muda tu kwani hata hiyo uber utaendeshaje kama dsm uijui,, so ww fanya hivi angalia maeneo jirani na chuo, mfano km upo UDSM unaweza kwenda changanyikeni au kimara au mabibo tabata unatafuta kaflem kadigo ka elfu 50 kwa mwezi, unaweka vifaa vya umeme aina mbalimbali unauza, them mtafute fundi wa umeme wa mtaani unakuwa nae pale kijiweni kwako mnafanya na troubleshooting ndogo ndogo za umeme au wiring unaweka na huduma hizo ila kazi ya service ikitokea unaenda na huyu jamaa ndio utaanza kujifunza na utakuwa master hatari, take it from me ... Hautojuta after graduation.
Chukuwa huu ushauri dogo
 
Huo mkopo tiba yake uko vipi pamona na muda wa marejesho??
Hapo sijajua wala sijafatilia yan!! Nlikua naomba ushauri kwanza mtu anaejua zaid anaweza nijuza pia zaidi
 
Ahahaahahh
Dogo injiniaring bado haijachanganya hapo,hiyo hela itunze soma kwanza,mziki wa kuomba poo bado haujaanza hapa na ukianza unaweza kudisco,fanya kilichokupeleka,endelea na biashara hiyo hiyo ya bajaj ambayo ulishaianza
sawakaka nimekupata! Asante kwa ushauri pia
 
Mimi ni kijana wa miaka 22 kwa sasa nasoma chuo bachelor of electrical engneering! Nlibahatika kupata pesa so nilinunua bajaji angu Moja na pikipiki so angalau kwa mwezi naingiza kama 700k hivi
Nimepata mkopo wa chuo so ada na Boom napata japo m naongeza kdg tu! So tuseme kwa mwezi take home n kama 600k hivi nkishatoa matumizi yangu yote!
Nimekuja chuo nimegundua kuna mda mwingi sana tunakuwepo tu free so nkawa na wazo la kuanza side hussle angu mwenyewe niwe na gari la uber na bolt nijiiongezee kipato! ila hapo nataka kuchukua mkopo wa gari lisilozidi
7M make nina uhakika wa kulilipa make ata gari hilo sio la starehe ila la kazi kama Vitz au ist!
Jamani naombeni ushauri je ntakua nimefanya maamuzi mazuri make kweri nimejikuta nimekuwa na uhitaji huo make maisha kutegemea tu kumaliza chuo ndo upate pesa n jau sana!
Naombeni ushauri wenu tafadhari ntashukuru sana!
Niko hapa hapa Dar!
Dogo...sikia, usijichanganye kwenye uber asee. Hapo utakua ume-incur liability mbili. Namba moja ni mkopo wa gari na namba mbili ni gari lenyewe kama liability. Anytime gari inaweza ikapata majanga na kuweza kuja kuirudisha barabarani inaweza chukua mda mrefu kulingana na tatizo lenyewe. Mixer bado hapo usacrifice muda wako wa class kwenda kuifatilia bado pia uhandle stress za pikipiki na bajaji zako, at the snd of the day unakua overwhelmed na majukumu hata unashindwa piga kitabu...maana engineering mbele tu hapo mambo yanaaanza kujichanganya. So atleast i'd suggest utafute biashara nyingine tofauti na hii au narudia tena au utulie tu na hizo biashara zako ambazo zinakuingizia chochote kitu
 
Na umesema bajaji na pikipiki zinakupa 700k per week? Kwa marejesho gani wanayoleta hao jamaa? Maana boda kwa siku mjini hapa ni 10k...na bajaji maximum ni 20...sasa hio 700k inakujaje chalii
 
Ww
Na umesema bajaji na pikipiki zinakupa 700k per week? Kwa marejesho gani wanayoleta hao jamaa? Maana boda kwa siku mjini hapa ni 10k...na bajaji maximum ni 20...sasa hio 700k inakujaje chalii
jamaa mm nimesema kwa wiki kwwr kk
Acha kunsingizia asee!
Hayo n makadirio ya mwezi kaka angu!
Na pikpiki n 7k sio 10k
 
Ww

jamaa mm nimesema kwa wiki kwwr kk
Acha kunsingizia asee!
Hayo n makadirio ya mwezi kaka angu!
Na pikpiki n 7k sio 10k
ingekua kwa wiki siningekua ninagari tayar mzee 😂😂
 
Nimekupata broh !!!….n ushauri mzuri pia asante. Sana ndugu angu!
Dogo...sikia, usijichanganye kwenye uber asee. Hapo utakua ume-incur liability mbili. Namba moja ni mkopo wa gari na namba mbili ni gari lenyewe kama liability. Anytime gari inaweza ikapata majanga na kuweza kuja kuirudisha barabarani inaweza chukua mda mrefu kulingana na tatizo lenyewe. Mixer bado hapo usacrifice muda wako wa class kwenda kuifatilia bado pia uhandle stress za pikipiki na bajaji zako, at the snd of the day unakua overwhelmed na majukumu hata unashindwa piga kitabu...maana engineering mbele tu hapo mambo yanaaanza kujichanganya. So atleast i'd suggest utafute biashara nyingine tofauti na hii au narudia tena au utulie tu na hizo biashara zako ambazo zinakuingizia chochote kitu
 
ila
Dogo...sikia, usijichanganye kwenye uber asee. Hapo utakua ume-incur liability mbili. Namba moja ni mkopo wa gari na namba mbili ni gari lenyewe kama liability. Anytime gari inaweza ikapata majanga na kuweza kuja kuirudisha barabarani inaweza chukua mda mrefu kulingana na tatizo lenyewe. Mixer bado hapo usacrifice muda wako wa class kwenda kuifatilia bado pia uhandle stress za pikipiki na bajaji zako, at the snd of the day unakua overwhelmed na majukumu hata unashindwa piga kitabu...maana engineering mbele tu hapo mambo yanaaanza kujichanganya. So atleast i'd suggest utafute biashara nyingine tofauti na hii au narudia tena au utulie tu na hizo biashara zako ambazo zinakuingizia chochote kitu
ujue kwq nini m nlikua natka kujiwekea side hussle ni kwa sababu tu nimeona weng yan baada ya chuo mtaani n kugumu sio poa kk asee!
Yan mtaa hauna huruma so ndo maana nlitaka kufanya hivo yan ili ata nkimaliza niwe tayar nina bzness zang za kuniingizia kipato kk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom