Side b of you

Side b of you

Penelope

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2012
Posts
713
Reaction score
643
Kuna baadhi ya mambo ambayo ni madogo ama makubwa unaeza kutendewa ukasikia hasira mpaka ukabadilika kabisa.Nafikiri wengi wetu tuna side mbili,unaweza ukamuona mtu ni mcheshi ana cheka kila wakati ila kuna side B ambayo inaweza kutokea anapokasirishwa kwa kiwango cha juu either na g/friend,boyfriend,mchumba,mke ama mume hata kwa jambo dogo tu ambalo hapendi kutendewa.....
Mimi kitu ambacho sipend ni kudanganywa hata kwa jambo dogo ,wewe je?
 
Naogopa sana kufumaniwa kwani hali hii huweza kupelekea kujiona kuwa u mdanganyifu kwa mpenzi wako.
 
sipendi kusalitiwa ama kudanganywa ukitaka kuona side b yangu jaribu hayo!
 
sipendi kuchukuliwa poa kwani huwa nikibadilika ni noma.....
 
my side b
mimi bwana ukisema uongo!af nigundue unanidanganya!ah
 
Kupenda na kujali ila nikichange hutoamini nakuchukia balaaa
 
Dah, naogopa sana side B yangu
Japo ni mara moja chache sana kufikia point hiyo
lakini huamshwa vitu vidogo vidogo mno, kikijirudia kwa mara nyingi

Hata huwa sijielewi
 
Uongo na Kudanganywa hata kwa jambo dogo, hapo ndo utaiona side b yangu
 
ha ha ha umenichekesha

ah wanawake mnajua mna hii tabia...yaani wataka kumuangaisha jamaa wakata raha mtapata wote bana. mie bora demu aniambie mwana kama untaka K hapa leta pesa kadha kuliko kufanya kama wanikomoa
 
nafurahia sana kudanganywa na gals kwa sababu huwa hainichukui muda kabla sijaugundua uwongo huo na hapo ndipo huwa mwisho wa mahusiano! Hii inanifanya kuwa huru bila kuwa na majukumu nje ya nyumbani kwangu....!
 
nafurahia sana kudanganywa na gals kwa sababu huwa hainichukui muda kabla sijaugundua uwongo huo na hapo ndipo huwa mwisho wa mahusiano! Hii inanifanya kuwa huru bila kuwa na majukumu nje ya nyumbani kwangu....!

Umeacha wangapi mpaka sasa?? maana inaonesha list itakuwa kubwa!!
 
Hahahaaaaa! Mi sinaga side B!!!! I TRUST NO ONE!!!!!! Mda waote niko makini, na kila jambo nalipa 50% of sucess na 50% of failure!!!! Hivo mambo yakigeuka naamia plan B fasta. Kila jambo naangalia cicumstances na logic ya matukio tu. Namtegemea Mungu tu!!!!! Siku hizi uchakachuaji umezidi, ukimuamini mtu dakika tu keshafoulisha!!! Waweza kufa kwa pressure. Kama mtu nampenda sanaa nampa 70% ila najua 30%anaweza kuwa magumashi vilevile!!!
 
Back
Top Bottom