kwa mujbu wa vitabu ya din zote za halali dunian,yalyonenwa ktk vitabu hvyo juu ya mwisho wa dunia umekaribia.Leo kwa sababu ya madaraka m2 kakubal wanaume kulana jicho(TIGO),na wanawake kutangulzana,OBAMA MDOGO WAKE NA CAMEROON.Imenkeraaaa
Mkuu elewa kua kuna uchaguzi unakuja very soon! Sasa unategemea Jaluo akose kura za wale jamaa wanaopumuliwa visogoni? kweli siasa ni mchezo mchafu :frusty:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.