Siasa za Tanzania ni sawa na tatu mzuka maana maigizo ni mengi kupanga ni kuchagua

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
Uganda wamezindua mabasi yanayotumia umeme wa jua (solar energy). Shirika la utangazaji la BBC limeeleza kuwa kampuni ya magari ya Kiira Motors ya nchini humo imeunda mfumo maalumu wa umeme wa jua unaotumika kuendesha mabasi hayo badala ya kutumia nishati ya mafuta.

Kenya wamezindua kiwanda cha kutengeneza magari ya kisasa ya Mobius. Kampuni ya Mobius Motors ya mjini Nairobi wiki jana ilizindua toleo la pili la magari yake (Mobius II) ambayo ni muundo wa SUV maalumu kwa ajili ya barabara za Afrika. Mobius II imeboreshwa zaidi na inavutia kulinganisha na Mobius I iliyozinduliwa mwaka 2013.

Tanzania na sisi hatupo nyuma, jana tumezindua passport mpya. Halafu tukitoka hapo tunaenda kubomoa jengo la TANESCO kwa milioni 700, then tunarudia uchaguzi kwa bilion 2 (Siha na Kinondoni). Ama kweli kupanga ni kuchagua.!!
 
Nakumbuka nyimbo ya uswahilini kuna vituko.
"mtu ananawa miguu kisha anatembea peku kuelekea ndani"
 
Uganda wamezindua mabasi yanayotumia umeme wa jua (solar energy). Shirika la utangazaji la BBC limeeleza kuwa kampuni ya magari ya Kiira Motors ya nchini humo imeunda mfumo maalumu wa umeme wa jua unaotumika kuendesha mabasi hayo badala ya kutumia nishati ya mafuta.

Kenya wamezindua kiwanda cha kutengeneza magari ya kisasa ya Mobius. Kampuni ya Mobius Motors ya mjini Nairobi wiki jana ilizindua toleo la pili la magari yake (Mobius II) ambayo ni muundo wa SUV maalumu kwa ajili ya barabara za Afrika. Mobius II imeboreshwa zaidi na inavutia kulinganisha na Mobius I iliyozinduliwa mwaka 2013.

Tanzania na sisi hatupo nyuma, jana tumezindua passport mpya. Halafu tukitoka hapo tunaenda kubomoa jengo la TANESCO kwa milioni 700, then tunarudia uchaguzi kwa bilion 2 (Siha na Kinondoni). Ama kweli kupanga ni kuchagua.!!
amekuja na sera ya viwanda, saw a siyo mbaya, lakini huku upande wa pili amekuja na Sera za kusinyaa kwa uchumi, sasa hivi viwanda vikidhalisha Nani atanunua hizo bidhaa
 
Mkuu acha kufananisha tatu mzuka na vitu vya kijinga aisee..Imetoka kunipatia milioni moja dakika 18 zilizopita. Hapa nilipo nishapata nyongeza ya kuisogeza february na nipo na furaha sanaaaa. Hongera kwa kuanzisha uzi nasi tuchangie!
 
Uganda wamezindua mabasi yanayotumia umeme wa jua (solar energy). Shirika la utangazaji la BBC limeeleza kuwa kampuni ya magari ya Kiira Motors ya nchini humo imeunda mfumo maalumu wa umeme wa jua unaotumika kuendesha mabasi hayo badala ya kutumia nishati ya mafuta.

Kenya wamezindua kiwanda cha kutengeneza magari ya kisasa ya Mobius. Kampuni ya Mobius Motors ya mjini Nairobi wiki jana ilizindua toleo la pili la magari yake (Mobius II) ambayo ni muundo wa SUV maalumu kwa ajili ya barabara za Afrika. Mobius II imeboreshwa zaidi na inavutia kulinganisha na Mobius I iliyozinduliwa mwaka 2013.

Tanzania na sisi hatupo nyuma, jana tumezindua passport mpya. Halafu tukitoka hapo tunaenda kubomoa jengo la TANESCO kwa milioni 700, then tunarudia uchaguzi kwa bilion 2 (Siha na Kinondoni). Ama kweli kupanga ni kuchagua.!!
Jamaa alibeep akasukumizwa.ameondoa uhuru wa kujieleza pia ni mshamba na anaogopa kutoka kuona wenzie wanafanya maendeleo vipi.anapenda sifa asifiwe tu bila kukosolewa.kumbe anaturudisha nyuma kwa speed ya ajabu.slowslow anamwabudu hadi kwenye matv hadi hajitambui
 
Mkuu acha kufananisha tatu mzuka na vitu vya kijinga aisee..Imetoka kunipatia milioni moja dakika 18 zilizopita. Hapa nilipo nishapata nyongeza ya kuisogeza february na nipo na furaha sanaaaa. Hongera kwa kuanzisha uzi nasi tuchangie!
mkuu wangu upo
 
Uganda wamezindua mabasi yanayotumia umeme wa jua (solar energy). Shirika la utangazaji la BBC limeeleza kuwa kampuni ya magari ya Kiira Motors ya nchini humo imeunda mfumo maalumu wa umeme wa jua unaotumika kuendesha mabasi hayo badala ya kutumia nishati ya mafuta.

Kenya wamezindua kiwanda cha kutengeneza magari ya kisasa ya Mobius. Kampuni ya Mobius Motors ya mjini Nairobi wiki jana ilizindua toleo la pili la magari yake (Mobius II) ambayo ni muundo wa SUV maalumu kwa ajili ya barabara za Afrika. Mobius II imeboreshwa zaidi na inavutia kulinganisha na Mobius I iliyozinduliwa mwaka 2013.

Tanzania na sisi hatupo nyuma, jana tumezindua passport mpya. Halafu tukitoka hapo tunaenda kubomoa jengo la TANESCO kwa milioni 700, then tunarudia uchaguzi kwa bilion 2 (Siha na Kinondoni). Ama kweli kupanga ni kuchagua.!!
mkuu....
 
Reli ya Kisasa - Standard gauge Dar Mwanza km 1200 na ushee kwa pesa zetu wenyewe.
Ndege mpya - Bombardier zaidi ya 6
Kuhamia Dodoma
Elimu buree hadi darasa la kumi na mbili
Wafanyakazi hewa maelfu wamefagiliwa
Matumizi ya hovyo hivyo ya fedha za umma - yamethibitiwa

nini tena mnataka watanzania??? mikutano ya kisiasa na maandamano? kama hayo basi tukutane 2020.
 
Uganda wamezindua mabasi yanayotumia umeme wa jua (solar energy). Shirika la utangazaji la BBC limeeleza kuwa kampuni ya magari ya Kiira Motors ya nchini humo imeunda mfumo maalumu wa umeme wa jua unaotumika kuendesha mabasi hayo badala ya kutumia nishati ya mafuta.

Kenya wamezindua kiwanda cha kutengeneza magari ya kisasa ya Mobius. Kampuni ya Mobius Motors ya mjini Nairobi wiki jana ilizindua toleo la pili la magari yake (Mobius II) ambayo ni muundo wa SUV maalumu kwa ajili ya barabara za Afrika. Mobius II imeboreshwa zaidi na inavutia kulinganisha na Mobius I iliyozinduliwa mwaka 2013.

Tanzania na sisi hatupo nyuma, jana tumezindua passport mpya. Halafu tukitoka hapo tunaenda kubomoa jengo la TANESCO kwa milioni 700, then tunarudia uchaguzi kwa bilion 2 (Siha na Kinondoni). Ama kweli kupanga ni kuchagua.!!
Nchi ya viwonder kuzindua passport ni mafanikio
 
Back
Top Bottom