mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,336
Habari wadau wa JF
Kuna vurugu za maneno zinaendelea huko Kati ya wanasiasa katiba mpya na wengine chanjo ya covid19.
Tukiangalia mtaani vifo vimekuwa vingi lakini hatujui chanzo chake nini.
Tunaambiwa kuwa covid19 wagonjwa wapo lakini hawafiki hata 1000 maana last time Gwajima kuongelea hilo alitaja watu Kama 628 na tokea hapo hamna update hivyo hamna visa zaidi vya covid19.
Hali mtaani ipoje?
Kwa mwaka huu mzima toka January kumekuwa na vifo vingi ambapo tumeshindwa kujua nini chanzo chake maaana hata ndugu hawataki kusema.
Mwezi wa 7 na huu August hali ndio imekuwa mbaya zaidi mathalani wiki iliopita nilihuzuria misiba zaidi ya 9 iliyokuwa inanihusu kabisa yani ya ndugu wa karibu na bado imekuwa kawaida mjumbe wa serikali ya mtaa anapitia mchango wa rambirambi kila kawaida.
SIASA ZETU NA HILI TATIZO
siasa zetu ni kama hawaoni watu wakipuputika wao wanaendelea kujadili vitu visivyo vya muhimu maana afya na uhai ndio ya kwanza.
Namshangaa Dkt. Gwajima Kama Waziri wa Afya asilitolee ufafanuzi hili.
Au ndio nchi haijali maisha wanayopitia wananchi wakee?
Kuna vurugu za maneno zinaendelea huko Kati ya wanasiasa katiba mpya na wengine chanjo ya covid19.
Tukiangalia mtaani vifo vimekuwa vingi lakini hatujui chanzo chake nini.
Tunaambiwa kuwa covid19 wagonjwa wapo lakini hawafiki hata 1000 maana last time Gwajima kuongelea hilo alitaja watu Kama 628 na tokea hapo hamna update hivyo hamna visa zaidi vya covid19.
Hali mtaani ipoje?
Kwa mwaka huu mzima toka January kumekuwa na vifo vingi ambapo tumeshindwa kujua nini chanzo chake maaana hata ndugu hawataki kusema.
Mwezi wa 7 na huu August hali ndio imekuwa mbaya zaidi mathalani wiki iliopita nilihuzuria misiba zaidi ya 9 iliyokuwa inanihusu kabisa yani ya ndugu wa karibu na bado imekuwa kawaida mjumbe wa serikali ya mtaa anapitia mchango wa rambirambi kila kawaida.
SIASA ZETU NA HILI TATIZO
siasa zetu ni kama hawaoni watu wakipuputika wao wanaendelea kujadili vitu visivyo vya muhimu maana afya na uhai ndio ya kwanza.
Namshangaa Dkt. Gwajima Kama Waziri wa Afya asilitolee ufafanuzi hili.
Au ndio nchi haijali maisha wanayopitia wananchi wakee?