Siasa za Mbeya 2005-2010

Mwingine ajimwaga kuwania Kyela.

Na Israel Mwaisaka,Kyela Mbeya
 
Mtanzania tumekuchoka bwana huwezi post kitu kingine huko kwenu?
 
Kwani umelazimishwa kusoma kuhusu mambo ya Kyela?

Buchanan,
Achana na mbabaishaji huyo Masanilo, anafikiri atatengeneza CV yake kwa kumshambulia mtanzania hapa JF.

Hao ndio wasomi wetu walio bobea wanaofikiri personal attacks zitasaidia kuliokoa taifa letu.
 

Ni haki yako ya kikatiba Bwana Mwanjala, kama ilivyo kwa wengine wanaotaka kugombea hapo Kyela ama majimbo mengine. Manake jimbo halina hati miliki ya mtu. Lakini hofu yangu ni kuwa nawe waweza ambiwa umetumwa na mafisadi, jamaa hawapambani kwa hoja bali wanatumia ufsadi ili waonekane wapambanaji na pia kupata huruma.
 
Have a nice weekend Wakuu

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=TjiOCLol0qY[/ame]
 
Buchanan,
Achana na mbabaishaji huyo Masanilo, anafikiri atatengeneza CV yake kwa kumshambulia mtanzania hapa JF.

Hao ndio wasomi wetu walio bobea wanaofikiri personal attacks zitasaidia kuliokoa taifa letu.


Kama Mwakalinga anavyotengeneza CV yake kwa kupost upupu wa Kyela
 
Kama Mwakalinga anavyotengeneza CV yake kwa kupost upupu wa Kyela

Masanilo,

Kama ya Kyela ni upupu basi tuletee ya Scotland, ya Edinburgh.

Naona posts zako nyingi hapa JF ni kumtukana Mwakalinga; ni kama kelele za chura tu ambazo hazimzuii ng'ombe kunywa maji.
 
Mtanzania tumekuchoka bwana huwezi post kitu kingine huko kwenu?

Buchanan,
Achana na mbabaishaji huyo Masanilo, anafikiri atatengeneza CV yake kwa kumshambulia mtanzania hapa JF.

Hao ndio wasomi wetu walio bobea wanaofikiri personal attacks zitasaidia kuliokoa taifa letu.

Kama Mwakalinga anavyotengeneza CV yake kwa kupost upupu wa Kyela

Masanilo,

Kama ya Kyela ni upupu basi tuletee ya Scotland, ya Edinburgh.

Naona posts zako nyingi hapa JF ni kumtukana Mwakalinga; ni kama kelele za chura tu ambazo hazimzuii ng'ombe kunywa maji.

Nyie ndugu zangu, acheni huu UGOMVI.

Kama mngelielewana, nina imani kuwa Watanzania kadhaa wangelifadi na mawazo/michango yenu. Ngoja nisubiri uchaguzi uishe labda na ugomvi utaisha. All in all, MNANIANGUSHA ndugu yenu.
 
mbeya ni miongoni mwa mikoa ambayo wananchi wake wanajitegemea kimawazo hivyo c kwamba jk hapendi kuenda hapana anaogopa kuulizwa, unajua ni rahisi kuwambia wajinga kuwa maisha bora kwa kila mtanzania na wakakupigia makofi mengi tu,,,,Lakini waelevu ukiwambia hivyo watakuhoji yata kujaje? so mbeya si mahali pa kwenda tu bila mpango ujiandae vizuri tena vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…