Sasa hivi Chama tawala kina siasa ya kujihami, deni la taifa limeongezeka..
Maisha ya watanzania yanazidi kuwa duni
Kipato cha mtanzania kinapungua na mfumuko wa bei umeongezeka
Afya inazidi kuwa duni, Elimu imedorora (migomo baridi)
ufisadi na uporaji rasilimali sasa ni wazi wazi na hakuna anaejali...
Hivi Sisi Watanzania ni Mbumbumbu kiasi gani..... Hivi hatujui kuwa serikali imefilisika kwa sababu ya ufisadi....
barabara zipi zimejengwa kwa kodi zetu ama rasilimali za Tanzania.
World Bank, Badea, NSSF na Mashirika mengine ya Nje ya NChi ndo yamekopesha serikali kujenga barabara.
haya madeni ya serikali tuliyokopa tutayalipa miaka zaidi ya kumi ijayo.... Hali ya Maisha na uchumi wa Mtanzania itaendelea kuwa duni chini ya serikali fisadi miaka nenda rudi.
Nchi kama marekani, KENYA, Zambia, Rwanda wanaongelea sera za kuwawezesha wananchi kiuchumi na maisha bora na sio barabara pekee..
kama hali ya wananchi kiuchumi na kimaisha ni duni, hata hiyo barabara hutakanyaga maana huna nauli ya kupanda basi.
Wake up Tanzania, elimu ndo mkombozi wetu ila elimu tunayopewa katika shule za kata ni duni. Hata ukienda vyuo vikuu mikopo haitoshi. Walimu mishahara duni...
Afya duni, kama afya bora hakuna utafanyaje kazi upate pesa???
So Watanzania tuelewe serikali inakusanya kodi zetu na inapaswa kutupa huduma.
rasilimali zetu zinufaishe watanzania na sio Watu binafsi na familia chache USwisiiii
Maisha ya watanzania yanazidi kuwa duni
Kipato cha mtanzania kinapungua na mfumuko wa bei umeongezeka
Afya inazidi kuwa duni, Elimu imedorora (migomo baridi)
ufisadi na uporaji rasilimali sasa ni wazi wazi na hakuna anaejali...
Hivi Sisi Watanzania ni Mbumbumbu kiasi gani..... Hivi hatujui kuwa serikali imefilisika kwa sababu ya ufisadi....
barabara zipi zimejengwa kwa kodi zetu ama rasilimali za Tanzania.
World Bank, Badea, NSSF na Mashirika mengine ya Nje ya NChi ndo yamekopesha serikali kujenga barabara.
haya madeni ya serikali tuliyokopa tutayalipa miaka zaidi ya kumi ijayo.... Hali ya Maisha na uchumi wa Mtanzania itaendelea kuwa duni chini ya serikali fisadi miaka nenda rudi.
Nchi kama marekani, KENYA, Zambia, Rwanda wanaongelea sera za kuwawezesha wananchi kiuchumi na maisha bora na sio barabara pekee..
kama hali ya wananchi kiuchumi na kimaisha ni duni, hata hiyo barabara hutakanyaga maana huna nauli ya kupanda basi.
Wake up Tanzania, elimu ndo mkombozi wetu ila elimu tunayopewa katika shule za kata ni duni. Hata ukienda vyuo vikuu mikopo haitoshi. Walimu mishahara duni...
Afya duni, kama afya bora hakuna utafanyaje kazi upate pesa???
So Watanzania tuelewe serikali inakusanya kodi zetu na inapaswa kutupa huduma.
rasilimali zetu zinufaishe watanzania na sio Watu binafsi na familia chache USwisiiii