Siasa sio ugomvi: Hafla, ujio wa Rais Zuma

Siasa sio ugomvi: Hafla, ujio wa Rais Zuma

Hahahh,, Lipumba kafeli asee huyu mzee..,, Na usomi wake wote kaishia hapo., Kwa nyie mnaowalaani watoto wenu wanaokataa shule mlaaniwe nyie kwanza..... Jifunzeni kwa lipumba, Kakosa pa kula yaan,, hakuna namna lazma awe puppet tu, its priceless for him 2 be a puppet than to hustle for his own...!!
 
Nani wa ajabu hapo ? Umeona mpinzani au umemuona mrema na lupumba. Sasa hao ni wapinzani au ni wafanya biashara ya siasa ?
 
Ina maana kipindi kile cha juisi na chai ikulu ilikua sio upinzan wa kweli?maana sera na utekelezaji haupo kabisa miongoni mwa wapinzani. Upinzani sio kuzira bali kuwa wenye msimamo dhabiti wa kuikosoa serikali kwa mbinu na njia za kitaalam.
Kikwete alikuwa na busara ya kutaka kusuluhisha mambo. Huyu si anajifanya kichwa kigumu akae na lipumba na mrema si wapo? Waacheni chadema wafanye mambo yao.
 
Sasa lipumba si hana mke akitoka hapo kapiga msosi huyoooo buguruni offisin kulala anasave pesa ya kwenda kwa mama ntilie

Mmmh.,, Mkuu na Magu alivyo bahili ivo,, Inawezekana akawa amemwambia Janeth aandae chakula cha mgeni tu hawa wengine wageni watakula makwao... Ni mwendo wa soda na biscuit tu had wapige miayo..
 
Hahahh,, Lipumba kafeli asee huyu mzee..,, Na usomi wake wote kaishia hapo., Kwa nyie mnaowalaani watoto wenu wanaokataa shule mlaaniwe nyie kwanza..... Jifunzeni kwa lipumba, Kakosa pa kula yaan,, hakuna namna lazma awe puppet tu, its priceless for him 2 be a puppet than to hustle for his own...!!
Kwasababu kakataa kuwa nyumbu wa Chadema na kufanya unavyotaka ?

- Mbowe kawaharibu sana akili, yaani mtu yeyote anaetofautiana mawazo na ninyi mnaona kanunuliwa. Shiiit
 
Mmh jamani watanzani tunaongoza kwa unafiki,mwenye busara mlikua mnamuita dhaifu,kaja mgumu nae mnamchukia aisee
Kikwete alikuwa na busara ya kutaka kusuluhisha mambo. Huyu si anajifanya kichwa kigumu akae na lipumba na mrema si wapo? Waacheni chadema wafanye mambo yao.
 
Kwasababu kakataa kuwa nyumbu wa Chadema na kufanya unavyotaka ?

- Mbowe kawaharibu sana akili, yaani mtu yeyote anaetofautiana mawazo na ninyi mnaona kanunuliwa. Shiiit

Kwani angeamua kwenda CCM tyu tujue moja nani angemsakama?? Shida ni "why being a puppet?? " Msomi mzima utakubalije kutumika kiboya namna hiyo
 
Kwani angeamua kwenda CCM tyu tujue moja nani angemsakama?? Shida ni "why being a puppet?? " Msomi mzima utakubalije kutumika kiboya namna hiyo
Mnahubiri demokrasia halafu kuitenda mnaona chungu, yeye kaamua kujiunga CUF ndicho chama anachokipenda na katiba inamruhusu unamlazimishaje chama ambacho hakitaki ?
 
Alikwenda kukutana na kundi la wafanyabiashara toka Marekani kipindi cha JK, nyumbx wakawa wanachekelea meno kama ngiri
Nyakati tofuati sana. Mwalimu kakaa ikulu miaka 23 wageni wake wanazidiwa kwa mbali na walifuatia na kukaa ikulu miaka kumi kumi. Hoja hapa kila nyakati na maisha yake!! Tatizo ujinga uliowajaa wana CCM wengi ni kudhani kuwa IKulu ni mali ya chama chao na mtanzania mwingine kwenda Ikulu ni kwa hisani tu!
 
Nyakati tofuati sana. Mwalimu kakaa ikulu miaka 23 wageni wake wanazidiwa kwa mbali na walifuatia na kukaa ikulu miaka kumi kumi. Hoja hapa kila nyakati na maisha yake!! Tatizo ujinga uliowajaa wana CCM wengi ni kudhani kuwa IKulu ni mali ya chama chao na mtanzania mwingine kwenda Ikulu ni kwa hisani tu!
Wewe ni zuzu, kazungushe viuno na kudeki lami
 
Back
Top Bottom