George Maige Nhigula Jr.
JF-Expert Member
- Mar 14, 2008
- 470
- 149
Ndugu wana JF,
Sisi sote Ni mashuhuda jinsi Chama cha Demokrasia na Maendeleo KILIVYOBADILISHA SIASA ZA NCHI YETU KWA MIKAKATI YA KISAYANSI (SCIENTIFIC STRATEGY) na kinavyoendelea kukitesa chama cha mapanduzi na Vibaraka wake,
Ni ukweli usiopingika kuwa nchi yetu na watanzania wengi walizoeshwa siasa nyepesi nyepesi na za ujanja ujanja kwa kuwa watanzania wengi walikuwa kwenye giza totoro kwa kukosa elimu ya kujitambua na umaskini uliofanya hata kutothamini haki zao za msingi. Hivi leo hali inaanza kutoa matumaini makubwa huko tuendako kwani Chama cha mapinduzi ambacho ni adui mkubwa wa maendeleo na ustawi wa Taifa letu kimejikuta matatani baada ya kuwekwa kwenye wakati mgumu wa kutetea rekodi yake ya miaka takribani 50 ya utawala wake, Tofauti na huko nyuma watu walikuwa wanalazimishwa kuimba sifa za chama ambazo haikustahili,
Napenda kutoa pongezi za dhati kwa chama cha maendeleo chadema kwa kuwa so offensive towards the ruling party na kuwafanya wawe majeruhi wa kisiasa na hatimaye watanzania wengi kutambua uovu na uchakavu wa chama hicho kikongwe, ambapo sera zake zimeendelea kulifanya Taifa letu na wananchi wake kuwa maskini wa kutupwa duniani.
Naomba Chadema na wanaharakati wote wasibweteke, tuendelea kupanga scientific strategy ya kummaliza adui wetu anaelipalangaya Taifa letu, CCM ni chama kilichozoea siasa nyepesi na legelege, siasa nzito na za kisayansi zinawapoteza taratibu kwenye ulimwengu wa siasa. Mapambano ya ukombozi wa fikra na mapinduzi ya kiuchumi kwa Taifa letu hayaepukiki, Tuungane pamoja na lengo litatimia.
Mungu Ibariki Tanzania.
Sisi sote Ni mashuhuda jinsi Chama cha Demokrasia na Maendeleo KILIVYOBADILISHA SIASA ZA NCHI YETU KWA MIKAKATI YA KISAYANSI (SCIENTIFIC STRATEGY) na kinavyoendelea kukitesa chama cha mapanduzi na Vibaraka wake,
Ni ukweli usiopingika kuwa nchi yetu na watanzania wengi walizoeshwa siasa nyepesi nyepesi na za ujanja ujanja kwa kuwa watanzania wengi walikuwa kwenye giza totoro kwa kukosa elimu ya kujitambua na umaskini uliofanya hata kutothamini haki zao za msingi. Hivi leo hali inaanza kutoa matumaini makubwa huko tuendako kwani Chama cha mapinduzi ambacho ni adui mkubwa wa maendeleo na ustawi wa Taifa letu kimejikuta matatani baada ya kuwekwa kwenye wakati mgumu wa kutetea rekodi yake ya miaka takribani 50 ya utawala wake, Tofauti na huko nyuma watu walikuwa wanalazimishwa kuimba sifa za chama ambazo haikustahili,
Napenda kutoa pongezi za dhati kwa chama cha maendeleo chadema kwa kuwa so offensive towards the ruling party na kuwafanya wawe majeruhi wa kisiasa na hatimaye watanzania wengi kutambua uovu na uchakavu wa chama hicho kikongwe, ambapo sera zake zimeendelea kulifanya Taifa letu na wananchi wake kuwa maskini wa kutupwa duniani.
Naomba Chadema na wanaharakati wote wasibweteke, tuendelea kupanga scientific strategy ya kummaliza adui wetu anaelipalangaya Taifa letu, CCM ni chama kilichozoea siasa nyepesi na legelege, siasa nzito na za kisayansi zinawapoteza taratibu kwenye ulimwengu wa siasa. Mapambano ya ukombozi wa fikra na mapinduzi ya kiuchumi kwa Taifa letu hayaepukiki, Tuungane pamoja na lengo litatimia.
Mungu Ibariki Tanzania.