Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Acha vitisho bwana watanzania hawajafikia mawazo hayo ya kishenzi. Hayo ni yako kwa vile umetumwa kusema hivyo. hiyo siku ikifika utafanyiwa wewe tena chunga mdomo wako usifikiri Mungu naye hakujui kama ambavyo unatumia jia feki hapa JF. Eee mungu na alaaniwe huyu muovu wa kutanguliza kauli zinazo ashiria uvunjifu wa amani. Tatizo mmeendekeza chuki binafsi, na hasa kwa lipi baya lililofanywa na Serikali. Hebu kalale bwana.Wakati umefika sasa tuweke itikadi za vyama pembeni ili kuwa na fikra huru zaidi, nadhani wanachopigania CDM, Lema akiwa kama mfano, kwa ujumla kina maana kubwa sana kwa wanachama wa vyama vyote irrespective of their political party differences. Ukiangalia anavyofanyiwa na polisi akiwa kama mbunge na watu wote wale anaowaongoza utagundua kuna ujumbe wanatupatia! Nadhani magamba na serikali yao wanalenga kupandikiza woga kwa watu, bila kujua kwamba watu wamechoka! Ipo siku, na nadhani i karibu, tutawafanyia ambacho hawakuwahi kuwaza!