Siasa Mamboleo: Macho yanapojaribu Kudanganya Akili (Ufahamu)

Siasa Mamboleo: Macho yanapojaribu Kudanganya Akili (Ufahamu)

Logikos

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
17,572
Reaction score
27,314
Katika kukumbushana hapo kabla nilisema haya.....

Lakini sasa naona kuna mengine ya kushangaza; tunafuja mali ili kwa macho tuonekane tupo vizuri kuliko uhalisia....
  • Wakati hatuna ambulance za kutosha wala mabasi ya usafiri (case in point mwendokasi Dar na fujo za Juzi) bado tunaonyesha tuna mabasi ya kutosha na mengine yakiwa matupu yanazunguka mitaani kabla na baada ya kampeni
  • Wakati kuna Taasisi na wanafunzi wanakosa Uniforms bado tunaonyesha umaridadi wa kuweza kuvisha mitaa na sio watu tu kuvaa nguo bali hata miti na Mistimu kuivalisha Mabango....
  • Wakati tunashindwa kuchangishana hata tuweze kuweke miundombinu ya UMEME ili ndugu zetu wa Kaskazini waweze kupata Umeme wa Grid na sio kununua toka Ethiopia bado tunaonyesha umaridadi wetu wa kuweza kuchangia Chama Matrilioni ya Pesa
Sasa swali ni kwamba tupo vizuri (tuna mali za kutosha) au tunapendwa kiasi kwamba watu wapo radhi walale njaa ili mradi tu wavai Jezi zetu....

NB: Ushauri wa Bure, Tujue kula na Vipofu..., Huwezi kulia njaa nikija kuomba value for money za Kodi yangu wakati naona wewe Umeshiba...
 
Back
Top Bottom