Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,459
- 498
Wanajamvi natoa dukuduku langu, najua siko peke yangu ila kwa niaba yao naomba kuwasilisha, kuna hivi viwanja vipya serikali imevipima hapa DSM nafikiri toka miaka ya 2000 mwanzoni, kuna baadhi ya matajiri wamejitwalia maeneo kinguvu tena yenye hati za wananchi na bado wakawa na jeuri kutisha watu na kuzungushia ukuta viwanja vya watu, Wizara ya ardhi inajua hizi taarifa lakini mpaka leo haijachukua hatua.
Mfano kuna eneo pale Kibada watu wamezuiwa kujenga, jamaa kaziba mpaka njia, taarifa zilifika kabla hata ya kujenga lakini kimyaaa, sasa kesho watu wakiuana kwa ajili ya hayo maeneo au mtu mmoja anapokuwa na ubavu wa kuziba njia ya jumuia (public pale kibada) na kudai yeye ni afisa wa Ikulu ndo nini hasa?
Ni maeneo mengi ninayosikia maamuzi madogo yafanywe lakini hayafanywi, hebu fanyeni kazi yenu bwana, watu tumekopa kwa ajili ya ujenzi ikabidi tununue vibajaj na sasa vimeshachakaa an hela hamna.
Mfano kuna eneo pale Kibada watu wamezuiwa kujenga, jamaa kaziba mpaka njia, taarifa zilifika kabla hata ya kujenga lakini kimyaaa, sasa kesho watu wakiuana kwa ajili ya hayo maeneo au mtu mmoja anapokuwa na ubavu wa kuziba njia ya jumuia (public pale kibada) na kudai yeye ni afisa wa Ikulu ndo nini hasa?
Ni maeneo mengi ninayosikia maamuzi madogo yafanywe lakini hayafanywi, hebu fanyeni kazi yenu bwana, watu tumekopa kwa ajili ya ujenzi ikabidi tununue vibajaj na sasa vimeshachakaa an hela hamna.