thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Mnaogapa ni "k" inawakilisha kitengo?Mzee ni nao wasiwasi maana nasikia wazee wa k walipenyeza .... ili jamaa asiwe tena.
Mnaogapa ni "k" inawakilisha kitengo?Mzee ni nao wasiwasi maana nasikia wazee wa k walipenyeza .... ili jamaa asiwe tena.
Duh Yani mpaka askofu na yeye ni mpinzani , vijana wa siku hizi ni shida lakini kuna miaka itakuja vijana ambao watasema tulikuwa na wazee vichwa ndimu Sana.Askofu wa chadema huyo mchaga aliyeshindwa kuzuia mahaba yake kwa chama cha nyumbani.
Yesu aliuawa kwa sababu za kidini ila mafarisayo walitumia sheria za kisiasa kufanikisha kumuuaIvi Waliomuuwa Yesu hawakuwa wanasiasakwa kuwa alisema yeye ni mfalme ilikiwa ni dini au siasa?
Ww mwanamke umeacha kunyonyesha unarukia ya vatican.Vatican ni mfumo imara dunian ndo maana unatawala.Naona wapinzani wa Shoo ni kina Munga ambao pia sio wababaishaji.
Nimependa utaratibu wa KKKT, askofu mkuu anachaguliwa na maaskofu wenzake wa kitanzania sio askofu tuletewe kutoka Vatcan.
Ndio maana China walikataa huo ujinga, waumini wachina, mapadri wachina ila eti wachaguliwe vatcan. Wanaleta tu mtu hata ambae waumini hawamjui. Huo ni utaahira.
Wachague mtu anaekubalika na waumini wanamkubali.
Mbweha wa Bashite naona mmevamia uzi huku boss wenu shetan aķiwatazama mlivyomapumbavu.Mwanaharakati Wa chadema Dr Shoo
Nimekunyonyesha mashine yangu sana mama, unajua kunyonya mtoto mzuri.Ww mwanamke umeacha kunyonyesha unarukia ya vatican.Vatican ni mfumo imara dunian ndo maana unatawala.
Kama Malasusa hana kinyongo na Shoo, anaweza akashinda. Lakini u must know Malasusa ana kambi yake ya chini kwa chini ambayo inaweza ikaleta upinzani kwa Shoo ambaye naye alitaka kumwangusha Malasusa.
Time will tell.
Kwenye msiba wa Mengi pakawa ndio mahali pa kutemea nyongo. Na wao wachunga kondoo wanaisoma namba kimtindo.Askofu wa chadema huyo mchaga aliyeshindwa kuzuia mahaba yake kwa chama cha nyumbani.
Makanisa hayataki ukanda na visasi, hii si siasa bali ni haki kwa watu wote nchini.Uchaguzi wa Mkuu wa KKKT unaendelea hadi usiku huu.
Lakini lipo jambo nalisumbukia sana toka mapema juzi kwamba je ukereketwa wa Siasa za Tanzania ulio wa wazi kabisa kwa ma Askofu wa Kkkt utamponya na kushinda tena kinyang'anyilo uchaguzi ule Dk Shoo?
Mkuu Aibuuu Mungu hadhihakiwi umbea wako umeshindwaUchaguzi wa Mkuu wa KKKT unaendelea hadi usiku huu.
Lakini lipo jambo nalisumbukia sana toka mapema juzi kwamba je ukereketwa wa Siasa za Tanzania ulio wa wazi kabisa kwa ma Askofu wa Kkkt utamponya na kushinda tena kinyang'anyilo uchaguzi ule Dk Shoo?
Ndio kwanza kumembariki mpaka kapata tena uongozi. Dua mbaya inageuka bahati kwa Dr. ShooUchaguzi wa Mkuu wa KKKT unaendelea hadi usiku huu.
Lakini lipo jambo nalisumbukia sana toka mapema juzi kwamba je ukereketwa wa Siasa za Tanzania ulio wa wazi kabisa kwa ma Askofu wa Kkkt utamponya na kushinda tena kinyang'anyilo uchaguzi ule Dk Shoo?