STK ONE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 627
- 184
Sina takwimu za kutosha, lakini naamini kuwa hadi sasa bado sehemu kubwa ya nchi yetu bado haijaunganishwa kwenye teknologia ya kutumia VING'AMUZI ambavyo ni muuimu kwa ajili ya kuhama kutoka analogue kwenda DIGITAL.
Nina mifano michache, Huku kwetu Mpanda hata dalili hatuzioni, Kigoma hali kadhalika, Sumbawanga hali ndiyo hiyo....na sehemu nyingine, sasa Wanasiasa wanapotuambia kuwa tujiandae kuhama kutoka analogue kwenda digital, wanamaanisha wengine tutabaki bila ya Mawasiliano ya TV?
Sielewi, maana nasikia madish yatakosa kazi na madukani yameshuka hadi bei, Sasa sisi tunaotegemea madish kuona japo taarifa ya habari itakuaje kama hizo STAR TIMES NA TING bado hatuzioni?
Mwenye majibu ya maswali yangu tafadhali anisaidie.
Nina mifano michache, Huku kwetu Mpanda hata dalili hatuzioni, Kigoma hali kadhalika, Sumbawanga hali ndiyo hiyo....na sehemu nyingine, sasa Wanasiasa wanapotuambia kuwa tujiandae kuhama kutoka analogue kwenda digital, wanamaanisha wengine tutabaki bila ya Mawasiliano ya TV?
Sielewi, maana nasikia madish yatakosa kazi na madukani yameshuka hadi bei, Sasa sisi tunaotegemea madish kuona japo taarifa ya habari itakuaje kama hizo STAR TIMES NA TING bado hatuzioni?
Mwenye majibu ya maswali yangu tafadhali anisaidie.