Pumba tupu, mbona kila kitu kipo wazi? hao wasanii anaowataja ni wachumia tumbo tu wenye kusaka maslahi binafsi kama alivyo yeye chonza.Wakati mnapiga kelele mitandaoni sisi tupo field tukihamasisha masela kupata vichinjio.
Unakujuwa anakokwenda kugombea Prof JAY..??Inawezekana usiitafsir hivyo nilivyoitafsir mimi, lakini utakosea kusema kuwa wanazuoni hawatafsir hivyo, naomba mwanazuoni mmmoja ambae anakataa kuwa siasa sio perception, mmoja tu ambae sio wewe.
Pili, umesema kuwa kuna wasanii wanaofanya vizuri kuliko Diamind na akina wema na hawajawa affiliated na chama cha Mapinduzi...naomba kumjua mmoja tu.
Siasa ni mtazamo / dhana za wanasiasa (ama vyama vyao) na mapokeo ya wananchi katika mitazamo na falsafa hizo, ambazo kimsingi ndizo zinatoa mwelekeo na njia za maisha ya watu husika.
Wanasiasa ama labda niseme vyama vya siasa, vinajibainisha na kujitanabaisha kwa watu ama kundi la watu katika taswira fulani ya kuwavutia ili vipate kuungwa mkono na watu hao.
Upinzani ama niweke bayana zaidi, CHADEMA walipoanza siasa walijibainisha kuwa ni Chama cha Vijana, kikasema ajenda za vijana na kutenda matendo yaliyopendwa na Vijana na kikaungwa mkono na Vijana wengi wakati huo.
Vijana wanaathirika zaidi (youth are more influenced na entertainment industry) burudani ni miongoni mwa hitaji la Vijana. Wanamichezo, waigizaji, wanamuziki etc wana influence kubwa kwa jamii, na matendo yao huchukuliwa na jamii hata kufikia kuitwa kioo cha jamii..kwa maana jamii inajigezea na kufuata taswira yao.
Kuelekea Octoba 2015, tayari kundi la wasanii wameendelea kujibainisha kuwa si tu wafuasi wa CCM bali wameweka bayana nia zao za kutaka kuwa viongozi kupitia Chama hiko..hii maana yake nini..? Ni kuwa hakuna tena namna upinzani wakapata kuungwa mkono na vijana ikiwa wamepoteza mafungamano yao na wasanii.
2010, wasanii wa muziki, maigizo etc wote waliibea CHADEMA, Roma Mkatoliki, Afande Sele, Sugu etc waliweka wazi misimamo yao, vijana wakavutiwa nao wakaiunga mkono chadema, 2015 hali ni tofauti kabisa.,wasanii wamehakikisha wanafukia kaburi la upinzani nchini...
Watu wakimuangalia Diamond wanaiona CCM, wakimuangalia Wema wanaiona CCM, wakimuangalia Uwoya and the rest of the team, hawaoni isipokuwa CCM. Followers wao kwenye mitandao wana repost kuhusu CCM, matokeo yake kila unapotazama ni CCM.,upinzani tupa kule na watu wameshaanza kusahau kuwa tuna vyama vingi...masikio yako Dodoma, hawapitwi na taarifa ya habari kujua yanayojiri..
Sio kwa bahati mbaya, SIASA ni CCM, wengine wasindikizaji.
Siasa ni mtazamo / dhanaza wanasiasa (ama vyama vyao) na mapokeo ya wananchi katika mitazamo na falsafahizo, ambazo kimsingi ndizo zinatoa mwelekeo na njia za maisha ya watu husika. .
Vijana wanaathirika zaidi (youth are moreinfluenced na entertainment industry) burudani ni miongoni mwa hitaji laVijana. Wanamichezo, waigizaji, wanamuziki etc wana influence kubwa kwa jamii,na matendo yao huchukuliwa na jamii hata kufikia kuitwa kioo cha jamii..kwamaana jamii inajigezea na kufuata taswira yao.
2010 Wasanii wote waliibeba Chadema??? Chama tawala kinatakiwakuwa na shukrani na ku tambua mchango wa wasanii wengi waliowapa sapoti 20102010, wasanii wa muziki, maigizo etc wotewaliibea CHADEMA, Roma Mkatoliki, Afande Sele, Sugu etc waliweka wazi misimamoyao, vijana wakavutiwa nao wakaiunga mkono chadema, 2015 hali ni tofautikabisa.,wasanii wamehakikisha wanafukia kaburi la upinzani nchini... .
Watu wakimuangalia Diamond wanaiona CCM,wakimuangalia Wema wanaiona CCM, wakimuangalia Uwoya and the rest of the team,hawaoni isipokuwa CCM. Followers wao kwenye mitandao wana repost kuhusu CCM,matokeo yake kila unapotazama ni CCM.,upinzani tupa kule na watu wameshaanzakusahau kuwa tuna vyama vingi...masikio yako Dodoma, hawapitwi na taarifa yahabari kujua yanayojiri..
Sio kwa bahati mbaya, SIASA ni CCM, wengine wasindikizaji.
Kiukweli tulikuwa tunaidharau jf, lakini amini usiamini, mabandiko kama haya, yamesaidia saidia, huwezi jua!. Zamani nilikuwa napitia mabandiko yako kwa dharau na kujibu kwa kejeli, lakini baada ya uteuzi, sasa napitia mabandiko yako yote kwa makini zaidi, heshima na adabu haswa kwa kuzingatia wewe sasa ndio bosi wangu kwenye tasnia ya habari.Siasa ni mtazamo / dhana za wanasiasa (ama vyama vyao) na mapokeo ya wananchi katika mitazamo na falsafa hizo, ambazo kimsingi ndizo zinatoa mwelekeo na njia za maisha ya watu husika.
Wanasiasa ama labda niseme vyama vya siasa, vinajibainisha na kujitanabaisha kwa watu ama kundi la watu katika taswira fulani ya kuwavutia ili vipate kuungwa mkono na watu hao.
Upinzani ama niweke bayana zaidi, CHADEMA walipoanza siasa walijibainisha kuwa ni Chama cha Vijana, kikasema ajenda za vijana na kutenda matendo yaliyopendwa na Vijana na kikaungwa mkono na Vijana wengi wakati huo.
Vijana wanaathirika zaidi (youth are more influenced na entertainment industry) burudani ni miongoni mwa hitaji la Vijana. Wanamichezo, waigizaji, wanamuziki etc wana influence kubwa kwa jamii, na matendo yao huchukuliwa na jamii hata kufikia kuitwa kioo cha jamii..kwa maana jamii inajigezea na kufuata taswira yao.
Kuelekea Octoba 2015, tayari kundi la wasanii wameendelea kujibainisha kuwa si tu wafuasi wa CCM bali wameweka bayana nia zao za kutaka kuwa viongozi kupitia Chama hiko..hii maana yake nini..? Ni kuwa hakuna tena namna upinzani wakapata kuungwa mkono na vijana ikiwa wamepoteza mafungamano yao na wasanii.
2010, wasanii wa muziki, maigizo etc wote waliibea CHADEMA, Roma Mkatoliki, Afande Sele, Sugu etc waliweka wazi misimamo yao, vijana wakavutiwa nao wakaiunga mkono chadema, 2015 hali ni tofauti kabisa.,wasanii wamehakikisha wanafukia kaburi la upinzani nchini...
Watu wakimuangalia Diamond wanaiona CCM, wakimuangalia Wema wanaiona CCM, wakimuangalia Uwoya and the rest of the team, hawaoni isipokuwa CCM. Followers wao kwenye mitandao wana repost kuhusu CCM, matokeo yake kila unapotazama ni CCM.,upinzani tupa kule na watu wameshaanza kusahau kuwa tuna vyama vingi...masikio yako Dodoma, hawapitwi na taarifa ya habari kujua yanayojiri..
Sio kwa bahati mbaya, SIASA ni CCM, wengine wasindikizaji.