Tatizo lako wewe unataka kufanya siasa ni uongo na propaganda. Kwa mfano unatudanganya Diamond ni mwanaccm wakati tuliona mapicha hapa JF na fb na hata magazeti yaliandika Diamond akikabidhiwa kadi ya ACT wasaliti na Ayatullah Zitto.Inawezekana usiitafsir hivyo nilivyoitafsir mimi, lakini utakosea kusema kuwa wanazuoni hawatafsir hivyo, naomba mwanazuoni mmmoja ambae anakataa kuwa siasa sio perception, mmoja tu ambae sio wewe.
Pili, umesema kuwa kuna wasanii wanaofanya vizuri kuliko Diamind na akina wema na hawajawa affiliated na chama cha Mapinduzi...naomba kumjua mmoja tu.
Ni kweli uchumia tumbo na njaa unakuponza sana Jully. Si kweli wakati wa uchaguzi mkuu 2010 Afande Sele alikuwa CHADEMA bali alikuwa mwanaccm.Sele alijiunga CHADEMA baada ya uchaguzi pamoja na Prof Jay.Sasa ndugu yangu, ukiulizwa umechangia nini, unasemaje.? Ni bora hata ungelikaa kimya tu.
Inawezekana usiitafsir hivyo nilivyoitafsir mimi, lakini utakosea kusema kuwa wanazuoni hawatafsir hivyo, naomba mwanazuoni mmmoja ambae anakataa kuwa siasa sio perception, mmoja tu ambae sio wewe.
Pili, umesema kuwa kuna wasanii wanaofanya vizuri kuliko Diamind na akina wema na hawajawa affiliated na chama cha Mapinduzi...naomba kumjua mmoja tu.
Tatizo lako wewe unataka kufanya siasa ni uongo na propaganda. Kwa mfano unatudanganya Diamond ni mwanaccm wakati tuliona mapicha hapa JF na fb na hata magazeti yaliandika Diamond akikabidhiwa kadi ya ACT wasaliti na Ayatullah Zitto.
mambo dada..... hii ni mithili ya BCBG....... vp jamaa alitaja mafisadi wa USwisi?Inawezekana usiitafsir hivyo nilivyoitafsir mimi, lakini utakosea kusema kuwa wanazuoni hawatafsir hivyo, naomba mwanazuoni mmmoja ambae anakataa kuwa siasa sio perception, mmoja tu ambae sio wewe.
Pili, umesema kuwa kuna wasanii wanaofanya vizuri kuliko Diamind na akina wema na hawajawa affiliated na chama cha Mapinduzi...naomba kumjua mmoja tu.
Mkuu, si CCM tu: to be honest, wanasiasa wengi tanzania wakiwemo wa ccm na wa upinzaniPole mdogo wangu rudi shule japo kidogo tu,utajua maana ya siasa.Mnavyoitafsiri siasa inawafanya watu wengine waichukie siasa na waione kama ni uongo fulani hivi.Siasa si hivyo uisemavyo.Na wala huko kwenye CCM wengi wao wala hawaelewi maana ya siasa.
Mkuu, si CCM tu: to be honest, wanasiasa wengi tanzania wakiwemo wa ccm na wa upinzani
+ washabiki wao (wanazi) wamefanya watu wengi wenye busara wasitake kabisa kujihusisha na siasa wala kuikaribia.
Mkuu, si CCM tu: to be honest, wanasiasa wengi tanzania wakiwemo wa ccm na wa upinzani
+ washabiki wao (wanazi) wamefanya watu wengi wenye busara wasitake kabisa kujihusisha na siasa wala kuikaribia.
Inawezekana usiitafsir hivyo nilivyoitafsir mimi, lakini utakosea kusema kuwa wanazuoni hawatafsir hivyo, naomba mwanazuoni mmmoja ambae anakataa kuwa siasa sio perception, mmoja tu ambae sio wewe.
Pili, umesema kuwa kuna wasanii wanaofanya vizuri kuliko Diamind na akina wema na hawajawa affiliated na chama cha Mapinduzi...naomba kumjua mmoja tu.