Siasa iko CCM, wengine wasindikizaji

Siasa iko CCM, wengine wasindikizaji

wewe ndio maana ulizalishwa bila ndoa hivi unaelimu gani? diamond, wema??? hahaaa nmecheka sana.
 
aangalie wasanii wanaogombea kupitia ccm then aangalie wasanii wanaogombea kupitia chadema
mfano kna.mwehu anajiita steven .nyerere eti nae anataka ubunge????
 
Umesahau kwamba kichaa mtembea uchi nae watu wanamuangalia,na kwamba hawamuangalii kwa kuwa wanamhusudu, lakini wanamuangalia kwa kuwa yuko uchi.Ndivyo ilivyo CCM kwa wananch wa Tanzania.Macho na masikio yao hayako Dodoma kwa kuwa wanawahusudu,lahasha,macho yao na masikio yao yameelekea Dodoma kwa kuwa mko uchi
Juliana Shonza
 
Last edited by a moderator:
Tetty sina hakika kama huyo bi dada amekuelewa naona ni mvivu wa kufikiri kwa sababu uhuru wake umeliwa na chama alichohamia! Hawezi tena kutoa mawazo ya kujenga hapo anawaza tu kupata hela za kuhujumu chama! Sasa bahati mbaya CCM inakufa hivyo na yeye anakufa kisiasa!
 
wewe demu umetumika huko leo hii unajitokeza kukishabikia hicho chama ili uonewe huruma upewe ukuu wa wilaya nn
 
Sasa ndugu yangu, ukiulizwa umechangia nini, unasemaje.? Ni bora hata ungelikaa kimya tu.
attachment.php
 
bora mimi na uncle Edo tunatambua nguvu na ustawi wa upinzani katika taifa letu. kikubwa tusibweteke, kuna wakati ukweli hubaki kama ulivyo ukiufinyanga ni kujifinyanga.
 
Dah kazi ipoo. Bi dada lazima utakuwa Team Mwigulu. Ficha,weka mbali na watoto kitumbua.
 
Wanasiasa ni waongo kama wewe ulivyo muongo.
 
Masikio yote ya watanzania yako dodoma,kuna kichama fulani cha ukanda wa kaskazini leo kimefanya kamati kuu hakuna attention yoyote kimetoa press hata haisomwi
 
"Kwa namna yoyote ile, CCM itarudi Ikulu hata kama ni kwa bao la mkono... bao ni bao tu ili mradi refa hajaona"
 
Mkuu, si CCM tu: to be honest, wanasiasa wengi tanzania wakiwemo wa ccm na wa upinzani
+ washabiki wao (wanazi) wamefanya watu wengi wenye busara wasitake kabisa kujihusisha na siasa wala kuikaribia.

Ni kweli kabisa ila sasa hilo ndio kosa linaloigharimu nchi sababu wengi wa waliobaki busara yao ni mashaka, uwezo mashaka lakini wana ujasiri wa hatari kabisa. . . . .
 
Siasa ni mtazamo / dhana za wanasiasa (ama vyama vyao) na mapokeo ya wananchi katika mitazamo na falsafa hizo, ambazo kimsingi ndizo zinatoa mwelekeo na njia za maisha ya watu husika.

Wanasiasa ama labda niseme vyama vya siasa, vinajibainisha na kujitanabaisha kwa watu ama kundi la watu katika taswira fulani ya kuwavutia ili vipate kuungwa mkono na watu hao.

Upinzani ama niweke bayana zaidi, CHADEMA walipoanza siasa walijibainisha kuwa ni Chama cha Vijana, kikasema ajenda za vijana na kutenda matendo yaliyopendwa na Vijana na kikaungwa mkono na Vijana wengi wakati huo.

Vijana wanaathirika zaidi (youth are more influenced na entertainment industry) burudani ni miongoni mwa hitaji la Vijana. Wanamichezo, waigizaji, wanamuziki etc wana influence kubwa kwa jamii, na matendo yao huchukuliwa na jamii hata kufikia kuitwa kioo cha jamii..kwa maana jamii inajigezea na kufuata taswira yao.

Kuelekea Octoba 2015, tayari kundi la wasanii wameendelea kujibainisha kuwa si tu wafuasi wa CCM bali wameweka bayana nia zao za kutaka kuwa viongozi kupitia Chama hiko..hii maana yake nini..? Ni kuwa hakuna tena namna upinzani wakapata kuungwa mkono na vijana ikiwa wamepoteza mafungamano yao na wasanii.

2010, wasanii wa muziki, maigizo etc wote waliibea CHADEMA, Roma Mkatoliki, Afande Sele, Sugu etc waliweka wazi misimamo yao, vijana wakavutiwa nao wakaiunga mkono chadema, 2015 hali ni tofauti kabisa.,wasanii wamehakikisha wanafukia kaburi la upinzani nchini...

Watu wakimuangalia Diamond wanaiona CCM, wakimuangalia Wema wanaiona CCM, wakimuangalia Uwoya and the rest of the team, hawaoni isipokuwa CCM. Followers wao kwenye mitandao wana repost kuhusu CCM, matokeo yake kila unapotazama ni CCM.,upinzani tupa kule na watu wameshaanza kusahau kuwa tuna vyama vingi...masikio yako Dodoma, hawapitwi na taarifa ya habari kujua yanayojiri..

Sio kwa bahati mbaya, SIASA ni CCM, wengine wasindikizaji.

Du kama imefikia hatua Diamond, Wema na Uwoya ndio kioo cha jamii basi Tanzania kutakuwa hakuna jamii ya wastaarabu
 
Siasa ni mtazamo / dhana za wanasiasa (ama vyama vyao) na mapokeo ya wananchi katika mitazamo na falsafa hizo, ambazo kimsingi ndizo zinatoa mwelekeo na njia za maisha ya watu husika.

Wanasiasa ama labda niseme vyama vya siasa, vinajibainisha na kujitanabaisha kwa watu ama kundi la watu katika taswira fulani ya kuwavutia ili vipate kuungwa mkono na watu hao.

Upinzani ama niweke bayana zaidi, CHADEMA walipoanza siasa walijibainisha kuwa ni Chama cha Vijana, kikasema ajenda za vijana na kutenda matendo yaliyopendwa na Vijana na kikaungwa mkono na Vijana wengi wakati huo.

Vijana wanaathirika zaidi (youth are more influenced na entertainment industry) burudani ni miongoni mwa hitaji la Vijana. Wanamichezo, waigizaji, wanamuziki etc wana influence kubwa kwa jamii, na matendo yao huchukuliwa na jamii hata kufikia kuitwa kioo cha jamii..kwa maana jamii inajigezea na kufuata taswira yao.

Kuelekea Octoba 2015, tayari kundi la wasanii wameendelea kujibainisha kuwa si tu wafuasi wa CCM bali wameweka bayana nia zao za kutaka kuwa viongozi kupitia Chama hiko..hii maana yake nini..? Ni kuwa hakuna tena namna upinzani wakapata kuungwa mkono na vijana ikiwa wamepoteza mafungamano yao na wasanii.

2010, wasanii wa muziki, maigizo etc wote waliibea CHADEMA, Roma Mkatoliki, Afande Sele, Sugu etc waliweka wazi misimamo yao, vijana wakavutiwa nao wakaiunga mkono chadema, 2015 hali ni tofauti kabisa.,wasanii wamehakikisha wanafukia kaburi la upinzani nchini...

Watu wakimuangalia Diamond wanaiona CCM, wakimuangalia Wema wanaiona CCM, wakimuangalia Uwoya and the rest of the team, hawaoni isipokuwa CCM. Followers wao kwenye mitandao wana repost kuhusu CCM, matokeo yake kila unapotazama ni CCM.,upinzani tupa kule na watu wameshaanza kusahau kuwa tuna vyama vingi...masikio yako Dodoma, hawapitwi na taarifa ya habari kujua yanayojiri..

Sio kwa bahati mbaya, SIASA ni CCM, wengine wasindikizaji.

Hata Wizi na Mafisadi wote Wapo CCM Vyama Vingine Usingizziwa tu
 
Kumbe uko vizuri hivyo ....natamani kuckia zaidi....uchambuzi wa kisiasa kutoka vijana@ team ingine mko wapi chambueni tuone strength ya upande mwingine
 
Back
Top Bottom