Yajayo yanafurahishaHebu tuambie tumekukosea nini....hii si kawaida..toka umepiga maguu JF wewe upo na wanaume tuu..
1. Kwenu wanaume, matatizo mengine hayahitaji maombi
2. Ni aibu kwa mwanaume
3. Wanaume hawajui mapenzi
4. Wanaume wengi hawabebeki
5. Tabia za ajabu kwa wanaume
6. Baadhi ya wanaume ni wachafu sana, wanalala na kahaba anayetembea na wanaume wengi
7. Bora kujipenda mwenyewe
8. Jana nimechepuka ili kumkomoa mwanaume niliyenaye
9. Wanaume kuwa na aibu za kitoto
10. Wanaume mnalaana
11. Wanaume wa siku hizi wamekua waoga sana hadi wanatia aibu
Kuna tatizo kubwa sana