mkuu watakua wanaume wamemtesa sana ana release stress na frustration zakeMkuu mbona mada zako zi kutunanga vidume tuu
Mkuu mbona unatucheka wakimbilia lift
hahaha ss na nyie hamjishtukii...lift waombe wanafunzi na nyie mkimbilieMkuu mbona unatucheka wakimbilia lift
Huyu ana kichaa cha dusheHebu tuambie tumekukosea nini....hii si kawaida..toka umepiga maguu JF wewe upo na wanaume tuu..
1. Kwenu wanaume, matatizo mengine hayahitaji maombi
2. Ni aibu kwa mwanaume
3. Wanaume hawajui mapenzi
4. Wanaume wengi hawabebeki
5. Tabia za ajabu kwa wanaume
6. Baadhi ya wanaume ni wachafu sana, wanalala na kahaba anayetembea na wanaume wengi
7. Bora kujipenda mwenyewe
8. Jana nimechepuka ili kumkomoa mwanaume niliyenaye
9. Wanaume kuwa na aibu za kitoto
10. Wanaume mnalaana
11. Wanaume wa siku hizi wamekua waoga sana hadi wanatia aibu
Kuna tatizo kubwa sana
atakuwa katendwa mara kibaoMkuu mbona mada zako zi kutunanga vidume tuu
mkuuKuna haja ya kwenda kuchukua seat yako Milembe
Wa kwako yukoje? Au huna?Ni aibu kubwa mwanaume wa 30+ una nguvu zako,huna ulemavu wowote,unautimamu wa ubongo, watoto wa shule wanaomba lift asubuhi unawasimamishia gari wanakuja mbio kupanda mara na limwanaume nalo hiloo mbio kudandia lift ya bure, 30+ hukoo really???? ?
nacheka kama mazuri lakini nimeshanga sana,sasa huku duniani unafanya nini??
Mke namna hiyo kabuluzwa na midume mpk anawachukia wanaume wote... AmeharibiwaMkuu mbona mada zako zi kutunanga vidume tuu