JFK wabongo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 3,887
- 3,187
Nimefikia msimamo huo baada ya kutafakari haya:
1. Kiwango kikubwa cha matumizi ya tumbaku. Nimebahatika kutembelea mikoa mbalimbali hasa maeneo ya stendi za mabasi na baa na kujionea kiwango cha utumiaji wa tumbaku.
2. Kampeni ya kutokomeza TB. Wote mnajua kuwa serikali inaendesha kampeni ya kutokomeza TB kwa kutoa matibabu bure kwa wagonjwa.
Swali lililoniijia ni kama uvutaji wa sigara ungekuwa miongoni mwa visababishi vya TB mbona serikali haikigusi? Kwa nini serikali inaruhusu matumizi holela ya sigara ili baadae iingie gharama za kuwatibu waathiriwa?
Mpaka nitakapopata ushahidi tofauti ntaendelea kuamini kuwa uvutaji wa sigara hausababishi TB.
1. Kiwango kikubwa cha matumizi ya tumbaku. Nimebahatika kutembelea mikoa mbalimbali hasa maeneo ya stendi za mabasi na baa na kujionea kiwango cha utumiaji wa tumbaku.
2. Kampeni ya kutokomeza TB. Wote mnajua kuwa serikali inaendesha kampeni ya kutokomeza TB kwa kutoa matibabu bure kwa wagonjwa.
Swali lililoniijia ni kama uvutaji wa sigara ungekuwa miongoni mwa visababishi vya TB mbona serikali haikigusi? Kwa nini serikali inaruhusu matumizi holela ya sigara ili baadae iingie gharama za kuwatibu waathiriwa?
Mpaka nitakapopata ushahidi tofauti ntaendelea kuamini kuwa uvutaji wa sigara hausababishi TB.