proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 7,578
- 11,765
koridodoo koridodoo kiridodododododo kama chura
To yeye njoo PM basSawa mkuu
Umepata?To yeye njoo PM bas
Bado hawajaja njoo weweUmepata?
Kumbe ndiyo sababukwa upande wangu tangu nilivyoongezeka kilo basi hii changamoto ya kukoroma imenipata
Binadamu sisi kama hatuna au hatujapatwa na changamoto fulani tunakufuru sana, to yeye kukoroma ni natural ikiamua kuwa kwako inakuwa so tushukuru sisi hatukoromi tu.Not natural...mwalala vibaya
We ni jinsia Gani?Nilikuwa nawashangaa wanaolala halafu wanakoroma, sasa juzi nilipata fursa ya kuwa jirani na mwenzangu opposite sex.
Nilishangaa ananiambia eti usiku nilikuwa nakoroma, nikabisha Kwa ujasiri wote, siku inayofuata ikabidi anirekodi nikiwa nakoroma.! Dah sikuamini kama ndo mimi.
Hivi hii kitu inasababishwa na nini na nini tiba yake!??
Kibaya zaidi mpaka mchana nikijilaza kidogo tu, naanza korooo korooo.! Dah yamenikuta.!
Niliwahi kuwa na girlfriend ambaye aliwahi kunichana kuwa hawezi kuwa/kulala na mtu anayekoroma. Mie niliwahi kuambiwa mara kadhaa kuwa sometimes ninakoroma usiku. Siku ya siku tukalala pamoja na huyo girlfriend........aisee sikuamini kuwa ni yeye aliyesema hawezi lala na mtu anayekoroma maana mie nilishindwa kulala. Alikuwa anakoroma vibaya mno.Nilikuwa nawashangaa wanaolala halafu wanakoroma, sasa juzi nilipata fursa ya kuwa jirani na mwenzangu opposite sex.
Nilishangaa ananiambia eti usiku nilikuwa nakoroma, nikabisha Kwa ujasiri wote, siku inayofuata ikabidi anirekodi nikiwa nakoroma.! Dah sikuamini kama ndo mimi.
Hivi hii kitu inasababishwa na nini na nini tiba yake!??
Kibaya zaidi mpaka mchana nikijilaza kidogo tu, naanza korooo korooo.! Dah yamenikuta.!
Kwahiyo unamaana huyo anaekoroma nae ni ng'ombe sio?! Ha ha haZamani nilikua naskia watu wakisema ukiona mtu anakoroma kwao wanafuga ng'0mbe
Kwahiyo boss unakoroma kama engine ya Supra😂Nilikuwa nawashangaa wanaolala halafu wanakoroma, sasa juzi nilipata fursa ya kuwa jirani na mwenzangu opposite sex.
Nilishangaa ananiambia eti usiku nilikuwa nakoroma, nikabisha Kwa ujasiri wote, siku inayofuata ikabidi anirekodi nikiwa nakoroma.! Dah sikuamini kama ndo mimi.
Hivi hii kitu inasababishwa na nini na nini tiba yake!??
Kibaya zaidi mpaka mchana nikijilaza kidogo tu, naanza korooo korooo.! Dah yamenikuta.!
Kwahiyo boss unakoroma kama engine ya Supra😂ilaNilikuwa nawashangaa wanaolala halafu wanakoroma, sasa juzi nilipata fursa ya kuwa jirani na mwenzangu opposite sex.
Nilishangaa ananiambia eti usiku nilikuwa nakoroma, nikabisha Kwa ujasiri wote, siku inayofuata ikabidi anirekodi nikiwa nakoroma.! Dah sikuamini kama ndo mimi.
Hivi hii kitu inasababishwa na nini na nini tiba yake!??
Kibaya zaidi mpaka mchana nikijilaza kidogo tu, naanza korooo korooo.! Dah yamenikuta.!
Dah ni kweli mkuu sema nakumbuka mimi ilikua ishu ya udenda ah ulinitesa sana ila Mungu mwema iliishaKabisa aisee, usicheke maana haya mambo hayana mwenyewe.!
Kabisa aisee, usicheke maana haya mambo hayana mwenyewe.!
Dah.! Nimecheka sana as if mimi nina afadhali kumbe ni wale wale.!Pole sana. Fanya mazoezi
View attachment 2934622