Si niliwambia msioe:- Kuna mwanamke anaenda kuangukiwa na chuma kizito kisa ndoa..!!!

dronedrake 😀
 
Binafsi nikikaa na wanaume wanaongelea ndoa positive sana ni kama wako kwa ajili ya familia no matter what
Ila ukiwasikiliza wanawake wakiongelea ndoa zao aisee unajua kabisa wanaume kazi IPO they are so negative towards their marriage
 
Binafsi nikikaa na wanaume wanaongelea ndoa positive sana ni kama wako kwa ajili ya familia no matter what
Ila ukiwasikiliza wanawake wakiongelea ndoa zao aisee unajua kabisa wanaume kazi IPO they are so negative towards their marriage
Hilo hata mimi nimeliona, wanawake wengi wanalalamikia ndoa zao tofauti na wanaume ambao wamekua very positive. Inaonekana wanawake wanapenda ndoa lkn maisha ya ndoa kwao ni kero tupu ndo maana hawaishi kulalamika
 
NDOA NI UHUNI TU, Kidooogo ubahatishe mwanamke bikra hapo mnaweza mkadumu kidogo, lakin ukute mwanamke keshachakachuliwa hapo hesabu maumivu tu,
 
Ndoa ni utapeli kama utapeli mwingine tu. Badala ya watu kufurahia wanalia na hizo ndoa UJINGA TU. KATAA NDOA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…