Hivi unajua ni kiasi gani bosi wa ofisi anayofanyia mkeo anavyomla mkeo?

Liverpool VPN

JF-Expert Member
Aug 29, 2020
5,807
13,055
Wajumbe mpoo....

Is Mr. Liverpool onces again na ileile kauli mbiu yake MSIOE MSIOE MSIOE ...!!!

Twende kwenye mada;

1. 2007
Nilianza kufanya Kazi za ajira 2007 baada tu ya kumaliza form four niliajiriwa kama karani ofisi fulani Dar.

Wakati huo nikiwa mdogo (18Yrs) nilikutana na wakubwaa ofisini.

Kwenye ile ofisi nilikutana na wadada wazuri sanaa.

Ila asilimia kubwa walikua wanaliwa na mabosi.

Sasa nilikua najiulizaga Hawa mbona wazuri wanakosa nini kwa waume zao?

Yaani mabaharia mabosi walikula sanaa wale wake zenu mule ofisini..!!

Tena kuna mmoja alishawahi kunilimbikizia Kazi mpaka nikashindwa kwenda lunch time kumbe alienda na bosi kulana huko the whole day..!!!

Na alikua mke wa mtu na ukimuona unaona kweli mumewe kapata KUMBEEE akaoa mbususu ya wenye mamlaka zao ofisini..!!!

Matokeo yalitoka nikagoma kwenda advance nikaenda soma chuo cert >>> Diploma.

2. 2010
Nikarudi kwenye ile kampuni ya 2007.

Kwakuwa nilikua tayari Nina ka professional (Diploma) then niliajiriwa kama mwajiriwa kamili.

Asilimia kubwaa ya wadada niliowaacha 2007 niliwakuta bado wanafanya Kazi.

Ila nilichoshangaa mtindo ulikua ni uleule wa kukulana tuu..!!!

Kuna dada mmoja (PS) alikua rafiki yangu sana tulizoeana kwasababu ya kupenda kumsaidia kazi.

Alikua akinipa sanaa umbea wa wanayoendelea ofisini (Si unajua mbaya wa mwanamke ni mwanamke mwenzake).

Alikua akinipa chain yotee ya jinsi mabosi wanavyokula wanawake wa ile ofisi.

Kibaya zaidi asilimia kubwaa walikua wameolewa...!!!

Dah mi nikabaki kuonea huruma waume zao tu wa huko majumbani.

SIJUI NANI ALIWATUMA WAOE?

3. 2012
Niliingia serikalini na baada ya kusoma Bachelor >> Masters nilihamishwa Idara na nilikohamia nikawa mkuu wa Idara.

Hapa sasa nikawa nina access/closeness na mabosi wengi sanaa serikalini.

Nilichojionea na ninayojionea huku ....

1. DC/Mkuu wa Wilaya yetu anamla PS wake ambae ni mke wa mtu.
Na juzi kaenda nae Dar ili akamle vizuri (Tangu lini DC akasafiri na PS?)

ila kilichoniuma ni huyu mdada, "Yaani kagawa mbunye ya mumewe ila kaona haitoshi kampelekea DC Dar akalale nayo wiki..!!""

MLIOA POLENI SANA.

2. DED/Mkurugenzi wetu alimla na anamla PS wake.
Alimla wa kwanza mpaka akahama kwa kumfata mume..!!
Yaani kaliwaaa mpaka akaona Bora ampelekee mumewe kilicholiwa.

PS wa sasa nae analiwa na mkurugenzi.
Huyu sasa mumewe ni hakimu wa mahakama ya wilaya huko wilaya jirani.

Ila analiwa sanaaa na DED.

Na sometimes mumewe anakujaga huku kujionea mkewe anavyoishi.

Natamani atokee mtu amuhadithie afanyayo mkewe..!!!

MLIOA KAZI MNAYO.

3. HR wetu ni mwanamke.
Kiukweli huyu mama ana shape hasaa ila ukikomaa una mla.

Ni mke wa mtu ila anazoea sanaa wanaume vijana.

Hapa Ofisini waliomla ni vijana wengi tu.

Ila sasa cha ajabu mumewe ni mfanyabiashara hivyo anapesa mingi ila mkewe/HR hajatulia..!!!

Mimi mwenyewe siku hizi kanizoea huyo...

Jana ananipigia simu huku anafurahi Simba kufungwa..!!

Namchoraa tu "Siwezi acha kuokota buku kisa Nina milioni mfukoni"

MLIOA NAWAONEA HURUMA.

4. Huko kazini mtaani ni kabisaa Majanga.

Yanayoendelea kwa walimu, manesi, madokta na wengine wanaofanya kazi huko kwenye kata yanasikitisha na ndoa ZENU.....

Wake zenu wanaliwa sanaa na hasa nyie ambao wake zenu wako mbali na nyie.

Mwanamke analeta shida yake ofisini anaona ili asaidiwe haraka basi atoe mbususu..!!

Ofisi imetangaza offer ya kiji Kazi cha allowance, mkeo anaona ili apate anatoa mbunye..!!!

Kwakuwa tu anakuona wewe ni mkuu wa Idara yake na una mmamlaka ya juu yake kwenye Kazi zake basi lolote akiona lina kwama anaona Bora atoe Kipochi manyoya....!!!!!

Ni mengi aisee, mengine nitawaletea siku nyengine ila ......

ACHENI KUOA MTAKUFA.
ACHENI KUKUMBATIA HIZO SHIDA ZA NDOA.

Ndoa NDOANO ..
Ndoa MAJANGA...
Ndoa SHIDA .....
Ndoa KIFURUSHI CHA MATATIZO....

Any way:- Tuendelee kutafuta hela ili tule bata.

If you think money does not bring happiness then go and ask watumishi wa Umma WALIJISIKIAJE tarehe 24 NMB ilipowatumia sms..!!!

#YNWA
 
Siku hizi sijui kuna kuna shida gani? Watu wanaachia mbususu kama hawana akili nzuri si wafanyakazi si wafanya biashara wala wanafunzi ukimpanga tu anakupa tena mmejuana siku moja ama mbili

Wanaowapa mabosi ni kutaka kupata favour flani kama akichelewa kazini ama kutofika hakuna neno, akifanya kazi kwa kujisikia pia sawa ndo maana ofisi za umma hakuna ufanisi

Utamsimamia mtu wakati badae unaomba mtanange nae pumbavu sana
 
Wajumbe mpoo....

Is Mr. Liverpool onces again na ileile kauli mbiu yake MSIOE MSIOE MSIOE ...!!!

Twende kwenye mada;

1. 2007
Nilianza kufanya Kazi za ajira 2007 baada tu ya kumaliza form four niliajiriwa kama karani ofisi fulani Dar.

Wakati huo nikiwa mdogo (18Yrs) nilikutana na wakubwaa ofisini.

Kwenye ile ofisi nilikutana na wadada wazuri sanaa.

Ila asilimia kubwa walikua wanaliwa na mabosi.

Sasa nilikua najiulizaga Hawa mbona wazuri wanakosa nini kwa waume zao?

Yaani mabaharia mabosi walikula sanaa wale wake zenu mule ofisini..!!

Tena kuna mmoja alishawahi kunilimbikizia Kazi mpaka nikashindwa kwenda lunch time kumbe alienda na bosi kulana huko the whole day..!!!

Na alikua mke wa mtu na ukimuona unaona kweli mumewe kapata KUMBEEE akaoa mbususu ya wenye mamlaka zao ofisini..!!!

Matokeo yalitoka nikagoma kwenda advance nikaenda soma chuo cert >>> Diploma.

2. 2010
Nikarudi kwenye ile kampuni ya 2007.

Kwakuwa nilikua tayari Nina ka professional (Diploma) then niliajiriwa kama mwajiriwa kamili.

Asilimia kubwaa ya wadada niliowaacha 2007 niliwakuta bado wanafanya Kazi.

Ila nilichoshangaa mtindo ulikua ni uleule wa kukulana tuu..!!!

Kuna dada mmoja (PS) alikua rafiki yangu sana tulizoeana kwasababu ya kupenda kumsaidia kazi.

Alikua akinipa sanaa umbea wa wanayoendelea ofisini (Si unajua mbaya wa mwanamke ni mwanamke mwenzake).

Alikua akinipa chain yotee ya jinsi mabosi wanavyokula wanawake wa ile ofisi.

Kibaya zaidi asilimia kubwaa walikua wameolewa...!!!

Dah mi nikabaki kuonea huruma waume zao tu wa huko majumbani.

SIJUI NANI ALIWATUMA WAOE?

3. 2012
Niliingia serikalini na baada ya kusoma Bachelor >> Masters nilihamishwa Idara na nilikohamia nikawa mkuu wa Idara.

Hapa sasa nikawa nina access/closeness na mabosi wengi sanaa serikalini.

Nilichojionea na ninayojionea huku ....

1. DC/Mkuu wa Wilaya nowetu anamla PS wake ambae ni mke wa mtu.
Na juzi kaenda nae Dar ili akamle vizuri (Tangu lini DC akasafiri na PS?)

ila kilichoniuma ni huyu mdada, "Yaani kagawa mbunye ya mumewe ila kaona haitoshi kampelekea DC Dar akalale nayo wiki..!!""

MLIOA POLENI SANA.

2. DED/Mkurugenzi wetu alimla na anamla PS wake.
Alimla wa kwanza mpaka akahama kwa kumfata mume..!!
Yaani kaliwaaa mpaka akaona Bora ampelekee mumewe kilicholiwa.

PS wa sasa nae analiwa na mkurugenzi.
Huyu sasa mumewe ni hakimu wa mahakama ya wilaya huko wilaya jirani.

Ila analiwa sanaaa na mumewe.

Na sometimes mumewe anakujaga huku kujionea mkewe anavyoishi.

Natamani atokee mtu amuhadithie afanyayo mkewe..!!!

MLIOA KAZI MNAYO.

3. HR wetu ni mwanamke.
Kiukweli huyu mama ana shape hasaa ila ukikomaa una mla.
Ni mke wa mtu ila anazoea sanaa wanaume vijana.

Hapa Ofisini waliomla ni vijana wengi tu.
Ila sasa cha ajabu mumewe ni mfanyabiashara hivyo anapesa mingi ila mkewe/HR hajatulia..!!!

Mimi mwenyewe siku hizi kanizoea huyo...

Jana ananipigia simu huku anafurahi Simba kufungwa..!!

Namchoraa tu "Siwezi acha kuokota buku kisa Nina milioni mfukoni"

MLIOA NAWAONEA HURUMA.

4. Huko kazini mtaani ni kabisaa Majanga.

Yanayoendelea kwa walimu, manesi, madokta na wengine wanaofanya kazi huko kwenye kata yanasikitisha na ndoa ZENU.....

Wake zenu wanaliwa sanaa na hasa nyie ambao wake zenu wako mbali na nyie.

Mwanamke analeta shida yake ofisini anaona ili asaidiwe haraka basi atoe mbususu..!!

Ofisi imetangaza offer ya kiji Kazi cha allowance, mkeo anaona ili apate anatoa mbunye..!!!

Kwakuwa tu anakuoa wewe ni mkuu wa Idara yake na una mmamlaka ya juu yake kwenye Kazi zake basi lolote akiona lina kwama anaona Bora atoe Kipochi manyoya....!!!!!

Ni mengi aisee, mengine nitawaletea siku nyengine ila ......

ACHENI KUOA MTAKUFA.
ACHENI KUKUMBATIA HIZO SHIDA ZA NDOA.

Ndoa NDOANO ..
Ndoa MAJANGA...
Ndoa SHIDA .....
Ndoa KIFURUSHI CHA MATATIZO....

Any way:- Tuendelee kutafuta hela ili tule bata.

If you think money does not bring happiness then go and ask watumishi wa Umma WALIJISIKIAJE tarehe 24 NMB ilipowatumia sms..!!!

#YNWA
MLETA UNA SIKU NYINGI ZA KUISHI DUNIANI
 
Unahitaji kumpata mwanasaikolojia Liverpool
Asiye amini unachoamini hamaanisha hayuko sawa..!!!
1. Bezos kambia ndoa
2. Bill gate kaona haina maana Tena
3. Ratan hakuwahi kuoa
4. Jaji mkuu wa Kenya aliyepita hakuwahi kuoa.

Ka google ile 20 weath people in the world na marriage status zao.

Unadhani wote hao wanahitaji mwanasaikolojia?

#YNWA
 
2007 form 4
2010 cert na diploma
2012 bachelor na masters


Sawaa mkuu hawa ndo wake zetu lakini
2007 - 4m4

2007/Oct - 2010/July = Cert = 1 Yr + Dip 2 Yrs.

Sijasema lolote kuhusu lini nilipata Bach + Masters.

Ila .........

2014 - 2019 niliunga bachelor + masters
Bach = 3Yrs (Oct/2014 - Aug/2017)
Masters = 2Yrs (Nov/2017 - Oct/2019).

Hapa nilipo Kuna mazaga zaga nafanya ili 2022 au 2023 nikishindwa kabisa basi 2024 lazima = Nipande ndege nikaingie darasani kusoma PhD.

Soma kijana somaaaa
Tafuta hela kijana tafuta helaaa.

Achana na KUOA.

#YNWA
 
Hakuna namna ni kulana tu dadeki ilimradi tuna enjoy na kuheshimiana, saiv hakuna mwanamke wa peke ako cha msingi unapokutana na papuchi ichakate kisawasawa hadi asemE we kidume, mi kuna mke wa mtu nimemzungusha kwenda kumchakata na kuniblock kaniblock
 
Nilishangaa kusikia ule wimbo wa Zuchu kuna kipande anaimba "Siku hizi kushea mabwana ndio habari ya mjini" nikasikitika sana..yaani tumefikia hatua watu "Kutombeana" imekua kawaida!

Mtoa mada sikulaumu kwa kutotamani kuingia kwenye ndoa..ni mtihani sana mkuu! Siku hizi watu wamebadilikwa na roho.
 
Mbususu zinapigwa mihuri sio poa yani, huo ni ukweli. Wanaochapwa sana ni wake za watu...wanachaapwa sana wake zetu huko maofisini, walivyo wajanja sasa, akitongozwa na mtu asompenda ndio atakuambia, akimpata anayemkubali kitu inamenywa kimya tu.

Ila sio sababu ya kuacha kuoa, ndoa tam sana mkuu
 
Back
Top Bottom