Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,577
- 19,457
Watu mnaoongelea ramani badala ya kuongelea definition ya mpaka. Angalia mwenzutu Steven Sambali katuwekea ramani mbili zinazotofautiana kuhusu mpaka huo; sasa nyie wahubiri wa ramani mtasema ni upi mpaka sahihi? Hata Google wametumia dots kwenye mpaka ule kwa vile wanajua kuwa hauna uhakika. Tujadili sheria na mikataba zinazounda mkataba ule.