si kupenda kwangu!!!!!!

si kupenda kwangu!!!!!!

beibe nasty

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2012
Posts
1,640
Reaction score
524
habari humu jamvini nimetokea kufurahishwa sana na uamuzi wa my ex husband kuwa amepata jiko jipya kwa moyo mkunjufu kabisa Ynnah karibu ktk ulimwengu wa malovee na bwana judgement ila tuu kua muangalifu coz ndoa ni uvumilivu..........
nahisi sasa my sister and my shost Charming Lady umeridhika sasa kuwa nimepata taarifa.
Angalizo: bado sijarudi rasmi maana kuna majukumu ya menkaba but nimewamis Arusha One, Erickb52, Babu Aspirin, mentor my bro my Dad watu8, kipipi my sis and others 🙂
 
Ngoja nikitoka Ntwara nitakuja kutoa kauli nzito kuhususiana na suala hili.
 
wewew Mamndenyi usiniambie fumanizi tena jaman haya nimekome this way tell mee
 
hehee inaonekana kuna mengi hapaaaa im waiting
 
namtafuta mumeo wa zamani,
mimi na wewe beibe nasty tuko sawa sawia
wapi hilo dume la mbegu.

Wotee , Asalamaleko kwa mpigo palee!
beibe nasty!
Mamndenyi !
Kunani hapa? Mmenikurupuaje zimbo!
Nna takriban 3 days natia maguu hapa kimanyatunyatu! Coz niko tite hapa Morogoro as a team work , tumepewa 1 moon toka ngazi za juu, tuhitimishe kufahamu kile kichwa alichobambikiwa mfanyibiashara na Polisi wa Moro kilitoka wapi.
 
Last edited by a moderator:
kundi la Bishanga hilo
Wotee , Asalamaleko kwa mpigo palee!
beibe nasty!
Mamndenyi !
Kunani hapa? Mmenikurupuaje zimbo!
Nna takriban 3 days natia maguu hapa kimanyatunyatu! Coz niko tite hapa Morogoro as a team work , tumepewa 1 moon toka ngazi za juu, tuhitimishe kufahamu kile kichwa alichobambikiwa mfanyibiashara na Polisi wa Moro kilitoka wapi.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom