Si kubwa ila

Si kubwa ila

Subiri nikuitie...

Mzee mwenzangu Dark City, kuna kajukuu huku kanataka kukushika sharubu.

Hebu kaache kwanza kauwashe moto, ili kakiungua kaujue vizuri. Nadhani kama sahau kuwa kikosi cha ulizi (halisi) wa babu kimejaa wajukuu wanaojua kazi zaidi ya Majembe Auction Mart (Wazee wa kazi)! Laiti kangembuka kuwa inapofikia wakati wa majuto huwezi tena kurudisha saa nyuma!

cc: Kasinde
 
Last edited by a moderator:
Hebu kaache kwanza kauwashe moto, ili kakiungua kaujue vizuri. Nadhani kama sahau kuwa kikosi cha ulizi (halisi) wa babu kimejaa wajukuu wanaojua kazi zaidi ya Majembe Auction Mart (Wazee wa kazi)! Laiti kangembuka kuwa inapofikia wakati wa majuto huwezi tena kurudisha saa nyuma!

cc: Kasinde
Ngoja kweli nikaache. Eti kanajaribu kuziba shimo la panya kwa mkate.

Hahahahaaa babu Asprin bana, hivi kwanza mzee mwenzio babu Dark City yuko wapi?
Mie nlishashindikanika tangu home, mata** yameota sugu kwa kucharazwa bakora. Naionea huruma bakora yako maana najua itajeruhiwa na ma**ko ya Kasie....
Eti..... Bunduki bila risasi yaua namna gani??

CC: Kaizer (Usipotakata mtoni, waeza takata bafuni?)
 
Last edited by a moderator:
Ngoja kweli nikaache. Eti kanajaribu kuziba shimo la panya kwa mkate.


Eti..... Bunduki bila risasi yaua namna gani??

CC: Kaizer (Usipotakata mtoni, waeza takata bafuni?)

Hommi hapa kubwa au dogo? Usinambie mchagua pombe sio mnywaji....tafazali
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom