Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,101
- 165,298
Hapa ni mambo ya tv za visogo na flat screen au?
hahaha mi nimeelewa ile simueleweshi mtu
Yani hapa ndo unaponipoteza kabisa..... kubwa nini sasa?? Mfereji wa Suez au Kijito Nyama???
Ewaaaa umepatia unakuta mdada hana wenzere ila mota inazunguka kama fani hadi mwanaume wa watu ataka tena na tena looh
Bwashe hata mimi sijaelewa. Kubwa na Dogo ni vitu gani hivyo??
Bwashe hata mimi sijaelewa. Kubwa na Dogo ni vitu gani hivyo??
hahaha mi nimeelewa ile simueleweshi mtu
Mie langu dogo kabisa mbona nilishasema, ukiweka fimbo ndefu kwa nyuma kuanzia kichwani hadi kisiginoni inanyooka wala haikai mshazari kama wenzere.
Ewalaa umepatia, jamaa kakutana na dogo linarolliwa hilo hata akaomba airtime tena hahahaa