Si kubwa ila

Si kubwa ila

Hapa ni mambo ya tv za visogo na flat screen au?
Ewaaaa umepatia unakuta mdada hana wenzere ila mota inazunguka kama fani hadi mwanaume wa watu ataka tena na tena looh
 
Hapa kubwa ni wenzere dogo ndo ile tunajifariji kuwa mwanamke ni nyonga wenzere uzito tuu. Haya hapo umeelewa babu?
Shimo la panya halizibwi kwa mate, hahahaa raha sana kuzaliwa mwanamke. Sasa ukutane na mwanaume anataka kulijaza shimo kwa mate hahahaa utamuonea huruma anavohaha. Kasie mie mnizoee tu

Yani hapa ndo unaponipoteza kabisa..... kubwa nini sasa?? Mfereji wa Suez au Kijito Nyama???
 
Hapo nimeelewa i bet wewe ni flat screen!
Mie langu dogo kabisa mbona nilishasema, ukiweka fimbo ndefu kwa nyuma kuanzia kichwani hadi kisiginoni inanyooka wala haikai mshazari kama wenzere.
 
Tezidume au tezijike
Mmhh sina hakika kama tezi jike ni mtindi au wenzere. Ila inayo rolliwa ni wenzere sasa wewe wadatishwa na kubwa au dogo?
 
Back
Top Bottom