Si kila mwanamke anafaa kuolewa

Si kila mwanamke anafaa kuolewa

burtons

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2009
Posts
280
Reaction score
86
Kwa kweli wadau sio kila mwanamke anaevaa sketi basi anapaswa kuolewa .

Wanawake wa kipindi hiki wamekua wabinafsi wanaojijali wenyewe na familia zao tuh yaan mama , baba yake au wadogo zake tuh . Na kutowajali ndugu wa upande wa mume wake . Hivyo kupata mke mwema ktk dunia ya sasa ni vigumu sana na kama mwanaume hautomtosheleza kimahitaji huyo mkeo basi ujue utaibiwa tuh maana atatafuta mbinu mbadala ili atimize hitaji lake .


Naomba kuwakilisha wana JF.
 
Kwa kweli wadau sio kila mwanamke anaevaa sketi basi anapaswa kuolewa .

Wanawake wa kipindi hiki wamekua wabinafsi wanaojijali wenyewe na familia zao tuh yaan mama , baba yake au wadogo zake tuh . Na kutowajali ndugu wa upande wa mume wake . Hivyo kupata mke mwema ktk dunia ya sasa ni vigumu sana na kama mwanaume hautomtosheleza kimahitaji huyo mkeo basi ujue utaibiwa tuh maana atatafuta mbinu mbadala ili atimize hitaji lake .


Naomba kuwakilisha wana JF.

mbona wanawake wazuri wapo,
 
Hii dhana ya mwanamke kuibiwa au kutoroshwa nafikiri ni potofu. Mwanamke kumwacha mwanaume na kwenda kwa mwingine hufanyika kwa makubaliano, halikadhalika kungonoka nje ya mahusiano yake rasmi.
 
Ni siyo kila mwanaume anafaa kuoa. Ukiwa tegemezi yani wewe ndiyo unayemtegemea mwanamke haya lazima yakukute. Ukitegemewa utaheshimika, ukitegemea utahisi kama unadharaulika. Jaribu wewe ndiyo uwe tegemeo, hutokuja lalamika kabisa. Na nyakati hizi kila mmoja anavutia upande wake zaidi.
 
Ni siyo kila mwanaume anafaa kuoa. Ukiwa tegemezi yani wewe ndiyo unayemtegemea mwanamke haya lazima yakukute. Ukitegemewa utaheshimika, ukitegemea utahisi kama unadharaulika. Jaribu wewe ndiyo uwe tegemeo, hutokuja lalamika kabisa. Na nyakati hizi kila mmoja anavutia upande wake zaidi.

Utafikiri ulikuwa kwenye akili yangu umeniwahi aiseeh
 
wapo wanawake wazuri wenye heshima zao tatizo kuwatambua tuu unahitaji kuwa na subira tuu na kufanya utafiti wa hali ya juu na usiwe na haraka. Tatizo letu tuna haraka kimaamuzi ila hatuangalii halihalisi ya sasa na tabia ya wanawake wengi wa sasa hivi walivyo
tulia fanya maamuzi weka vigezo vya mwanamke umtakaye na uanze utaratibu wa kumtafiti kwanza
 
Mtu mmoja alisema wanawake Mungu wao ni mmoja. Ninachoamini mimi ni kwamba kabla ya kuoa ujipange ila usidhani unaweza mmiliki mwanamke kama huna uwezo wa kumfanyia kila kitu. Tena inatakiwa hata mshahara wa mkeo usiujue ili kupunguza haya mawazo kwamba anasaidia kwao. Wazazi wetu ndo walikuwa na bahati kwamba mkiwa ndani ya ndoa lenu moja ila siyo sasa ivi.
Pia wanawake wanapenda kucheza na majukwaa kama mwenzie akiendesha harrier nae anataka hiyo hiyo ukikwama kumnunulia ndo unaanza kusaidiwa.
Ni mtazamo tuu
 
Duuh basi jamani IMETOSHA, maana inafikia wakati inachosha. Sio kila mwanamke..... Na upande wa wanaume nao, au wao wapo sahihi kila wakati? Wengine mama zetu "walisimamia show kigumu" hadi tukafika hapa tulipo. Na ninaamini matumbo ya Akina mama hayajachoka kuzaa/kujifungua mabinti waungwana.
 
Mnh mie mnanichoshaga mnaosema wazazi wetu walikuwa lucky,mahusiano yao yalidumu.....sasa nini kimepelekea sisi watoto wao mahusiano yetu yasidumu?.....
 
Ni siyo kila mwanaume anafaa kuoa. Ukiwa tegemezi yani wewe ndiyo unayemtegemea mwanamke haya lazima yakukute. Ukitegemewa utaheshimika, ukitegemea utahisi kama unadharaulika. Jaribu wewe ndiyo uwe tegemeo, hutokuja lalamika kabisa. Na nyakati hizi kila mmoja anavutia upande wake zaidi.

mkuu umeniwahi.. hawajui kuwa penzi linataka mtaji???
 
Kwa kweli wadau sio kila mwanamke anaevaa sketi basi anapaswa kuolewa .

Wanawake wa kipindi hiki wamekua wabinafsi wanaojijali wenyewe na familia zao tuh yaan mama , baba yake au wadogo zake tuh . Na kutowajali ndugu wa upande wa mume wake . Hivyo kupata mke mwema ktk dunia ya sasa ni vigumu sana na kama mwanaume hautomtosheleza kimahitaji huyo mkeo basi ujue utaibiwa tuh maana atatafuta mbinu mbadala ili atimize hitaji lake .


Naomba kuwakilisha wana JF.

Sioni sababu yakutofautiana na ww.
 
Basi Wanawake Wenye Maendeleo Na Matajiri Duniani Ni Wale Ambao Hawajaolewa So Kama Wewe Ni Mwanamke Unawaza Kuolewa Imekula Kwako Siku Hizi Kuna Wanawake watafta Majasho Kutuzidi Siye Men Na Hata Tukikutana Nao Huwa Tunawaogopaje Amkisema Mtutegemee Mtazidi Teseka Sana
 
Mnh mie mnanichoshaga mnaosema wazazi wetu walikuwa lucky,mahusiano yao yalidumu.....sasa nini kimepelekea sisi watoto wao mahusiano yetu yasidumu?.....

Jestina tatizo lilopo kipindi hiki wanawake wamekua wanapenda pesa yaan hamna penzi la kweli na tatizo lililopo ni kwamba wamekua na ubinfsi wa kupendelea kwao tuh na ndugu zake
 
Basi Wanawake Wenye Maendeleo Na Matajiri Duniani Ni Wale Ambao Hawajaolewa So Kama Wewe Ni Mwanamke Unawaza Kuolewa Imekula Kwako Siku Hizi Kuna Wanawake watafta Majasho Kutuzidi Siye Men Na Hata Tukikutana Nao Huwa Tunawaogopaje Amkisema Mtutegemee Mtazidi Teseka Sana

Haaaaaaa!!!!! shikamooooooooooooo !!!!! Jipu, asante kwa kuliona hili. hahahaaaaa!!!! nicheke mie.
 
Ni siyo kila mwanaume anafaa kuoa. Ukiwa tegemezi yani wewe ndiyo unayemtegemea mwanamke haya lazima yakukute. Ukitegemewa utaheshimika, ukitegemea utahisi kama unadharaulika. Jaribu wewe ndiyo uwe tegemeo, hutokuja lalamika kabisa. Na nyakati hizi kila mmoja anavutia upande wake zaidi.

kwel kabisaaaa mkuu
 
Back
Top Bottom