Habar wana MMU miaka ya hivi karibuni imekuwa rahisi sana kutongoza na ni rahisi pia kupata mwanamke ukilinganisha na miaka kama kumi nyuma,sio ishu siku hizi kusikia binti anamserendea jamaa na mitego mbalimbali(fursa kwa jamaa) ni kawaida tu,vilevile binti kutongozwa mara nyingi iwezekanavyo per day(fursa kwa binti) lakini si lazima kuzi2mia fursa zote chagua kati ya hzo fursa uchukue ipi uache ipi maana kuna fursa zingine unavoi2mia 2 na maisha yako yanabadilika on the spot,unaweza pata yale maradhi (HIV) katika hizo fursa jiulize unataka nini ktk dunia hii 2liyopewa bure,kwa nyongeza pia kwa wale wapendwa UKIMWI umeingia makanisani tusiruke step ya kupima afya kabla ya kuoana hata kama ndoa ye2 imetokana na kufunuliwa(kuna wengne actually hawafunuliwi wana2mia gia ya kufunuliwa kwa manufaa ya tamaa zao) yote kwa yote kila m2 kwa imani yake ajifunge mkanda tightly kwa yule anayeamin ni wake shetani ana mawakala wake wanasambaza UKIMWI kupitia "FURSA" tuwe makini na FURSA huko makazini,makanisani vyuon n.K