pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,636
- 6,261
Hapo mvumilivu ni mama samia huyo mwingine keshazoea.
una elimu ya kubahatishaKuna Watu naamini kabisa japo ni Wasomi wazuri na wakubwa tu ila ' Spiral of Silence Theory ' ama wameisahau au hawajawahi kuipitia ili iweze kuwasaidia katika sehemu zingine ambazo huwa ' wanategwa ' au ' wanajitega ' wenyewe. Naomba niishie hapa tafadhali.
Usisahau hackers Mkuu hata mimi humu wamebihack mara nyingi sana.
Hata mimi nilitaka kusema hivyo aisee umeniwahiDada ni mchokozi huyu.....
Kweli mkuuKuna ujumbe mzito sana umefichwa hapa.
Hata mimi nilitaka kusema hivyo aisee umeniwahi
Tanzania hacker wapo juu sana,
watu wanadukua mpaka gazeti na mwenye gazeti anashtaki mahakamani,
kweli wapo juu.
Kuna ujumbe mzito sana umefichwa hapa.
Subirini atakuja kukanusha kiwa account yake was hacked
Maskini shyrose duh!