Shy-Rose Bhanji awapa makavu CCM

Shy-Rose Bhanji awapa makavu CCM

Usiseme unampenda mume wa mtu bwana, sema ulikuwa unamuunga mkono. Unaonekana unajutia sana kuikosa hiyo nafasi.

Hii ndio tabu ya watu kupenda kutafuta "Short Cut" ya maisha, hamtaki kujishughulisha na kuwa wabunifu na ndio maana rushwa ya ngono inaongezeka kila kukicha.

Unafikiri "Oxygen" iko huko bungeni tu, after all you're a "Spent Force" and consequently, you should know that you have outlived your usefulness.
 
Ndugu huyu jamaa tulimchagua kwa utashi wetu kabisa mimi nikiwa miongoni mwao. Yapo mema kafanya na makosa pia, nimekuwa mvumilivu wa makosa yake na nadhani ninge endelea kumpa muda isipo kuwa pale alipo unda kundi la kuuwa na kuteka, kupoteza serekali yake ikalibatiza jina la la wasio julikana! hamu yote iliniishia, imani yangu kwa MAGUFULI haipo kabisa.
Mkuu hapo tuna share DNA.
 
Natumaini Magu atamjibu J3 wakati wa uzinduzi wa nmb bank Dom.
 
Shy-Rose Bhanji

Imekuwa ni desturi kwa baadhi ya WanaCCM kwamba kila ninapotoa maoni yangu ya kukikosoa chama changu au serikali wamekuwa wananishambulia kuwa ni sababu ya kukosa ubunge wa Afrika Mashariki. Sina chuki ya kukosa ubunge na hii naisema kutoka moyoni. Siku zote nimekuwa mkweli kwamba pale panapotakiwa kukosoa sijasita kufanya hivo na pale panapotakiwa kupongeza sijasita kufanya hivo.

Kwa vile ninanyanyaswa sana ni vizuri nilitolee ufafanuzi: Huo ubunge siyo kwamba nilikosa lakini ni kutokana na majungu, fitna na roho mbaya ya baadhi ya watu....vita niliyopigwa ni kubwa sana na Mungu tu ndo anajua. Ni kweli kwamba niliumia sana sana kwasababu sikujua nimemkosea nini Rais Magufuli mtu ambaye nilimpenda kwa moyo wangu wote. Isitoshe kazi yangu ya ubunge niliifanya kwa kujituma na kwa moyo wangu wote. Ulikuwa huniambii kitu pale lilipotajwa jina lake...nilifunga safari mpaka mikoani kumfanyia kampeni kwa pesa zangu mfukoni siyo kwamba anipe cheo, hapana ni kwasababu nilimwamini.

Na Naomba niwaulize hivi JK angemkata jina Magufuli baada ya kushinda kura za maoni ndani ya chama angejiskiaje? Hakika angeumia lakini nina imani angemsamehe kama vile mimi nilivomsamehe. Hizi ni nafasi leo zipo na kesho hazipo. Ni sawa na kuja duniani na kesho tunaondoka. Naomba sana sana msininyanyase kwasababu mnaniumiza moyo wangu
Dada amekutana na siasa za maji taka,Rostam Azizi aliachana na siasa kama hizi siku nyingi,alipoachana na siasa alisema waziwazi kuwa hawezi kuwa katika siasa za maji taka..

Haya ndi matatizo uetu wafrika kama kila siku ninavyosema "Hisia zetu zemtawala uhalisia katika maamuzi yetu",nchi za Afrika chini ya jangwa la sahara ikiwemo Tanzania zinapotea zinakosa maendeleo,zinakosa muelekeo kwa sababu za siasa za maji taka,..

Utakuta nchi imetunga sheria au katiba lakini anakuja mtu kwasababu yeye ana uwezowa kupindisha sheria basi anamua kutosifata hizo sheria,na raia wanamuangalia tu..!!

Utakuta wafuasi wa chama fulani wanamshangilia au kupongeza na kumtetea mtu hata kama kasosea hata kama nchi inapotea alimradi tu yeye ni mwanachama wa hicho chama anachotoka huyo mtu..

Halafu simfahamu huyu dada kama anaoana amekosewa na amedhalilishwa kinyume na katiba ya chama chake,kwanini bado ameng'ang'ania hicho chama,kwanini haachani na siasa au akajiunga na chama chengine au dio hizo siasa za maji taka uko kwenye siasa kwasababu ya masilahi yake!!?siasa ndio mtaji wake!!

Kwa mapenzi ya nchi yetu nazima tubadilike,lazima tuwe kitu kimoja wakati serikali inapokosea!!
 
Ila shyrose alipiga kampein sana enzi za uchaguzi mkuu,
na alikuwa anafanya Singleton,

mara utamuona yuko kibara,
hujakaa sawa yuko kwenye mtumbwi anaelekea majita,mara yuko na vijana anawapiga shule etc.

Kweli tenda wema uende zako....
Alimzidi Nape kupiga Kampeni?
 
Kumbe alitumia pesa zake za mfukoni.....acha yampate tu
Cc: kilando malecela, sophia simba, nape nnauye, kinana etc
 
Dada amekutana na siasa za maji taka,Rostam Azizi aliachana na siasa kama hizi siku nyingi,alipoachana na siasa alisema waziwazi kuwa hawezi kuwa katika siasa za maji taka..

Haya ndi matatizo uetu wafrika kama kila siku ninavyosema "Hisia zetu zemtawala uhalisia katika maamuzi yetu",nchi za Afrika chini ya jangwa la sahara ikiwemo Tanzania zinapotea zinakosa maendeleo,zinakosa muelekeo kwa sababu za siasa za maji taka,..

Utakuta nchi imetunga sheria au katiba lakini anakuja mtu kwasababu yeye ana uwezowa kupindisha sheria basi anamua kutosifata hizo sheria,na raia wanamuangalia tu..!!

Utakuta wafuasi wa chama fulani wanamshangilia au kupongeza na kumtetea mtu hata kama kasosea hata kama nchi inapotea alimradi tu yeye ni mwanachama wa hicho chama anachotoka huyo mtu..

Halafu simfahamu huyu dada kama anaoana amekosewa na amedhalilishwa kinyume na katiba ya chama chake,kwanini bado ameng'ang'ania hicho chama,kwanini haachani na siasa au akajiunga na chama chengine au dio hizo siasa za maji taka uko kwenye siasa kwasababu ya masilahi yake!!?siasa ndio mtaji wake!!

Kwa mapenzi ya nchi yetu nazima tubadilike,lazima tuwe kitu kimoja wakati serikali inapokosea!!
Kama upo serious, itisha mkutano na waandishi wa habari.
 
Sijaelewa ameandika haya kuomba msamaha au kulalamika jinsi anavyonyanyaswa? Hajabainisha aina ya unyanyasaji anaofanyiwa ni upi? Ninachokiona nimasimulizi ya kampeni alizompigua mheshimiwa, na athari ya kukatwa jina katika nafasi ya ungombea, sasa sijui yeye alikatwa au?
 
Ndio mkomage kujipendekeza! Mbona ilikuwa dhahiri kuwa Jiwe hafiti kwenye nafasi aliyopo! Na bado wapo wengine wanauguza vidonda kimya kimya! Ulidhani namba wataisoma wapinzani peke yao?
Ila Yule mzee wa kujinyea ndio anafiti nafasi hiyo?
 
Shy-Rose Bhanji

Imekuwa ni desturi kwa baadhi ya WanaCCM kwamba kila ninapotoa maoni yangu ya kukikosoa chama changu au serikali wamekuwa wananishambulia kuwa ni sababu ya kukosa ubunge wa Afrika Mashariki. Sina chuki ya kukosa ubunge na hii naisema kutoka moyoni. Siku zote nimekuwa mkweli kwamba pale panapotakiwa kukosoa sijasita kufanya hivo na pale panapotakiwa kupongeza sijasita kufanya hivo.

Kwa vile ninanyanyaswa sana ni vizuri nilitolee ufafanuzi: Huo ubunge siyo kwamba nilikosa lakini ni kutokana na majungu, fitna na roho mbaya ya baadhi ya watu....vita niliyopigwa ni kubwa sana na Mungu tu ndo anajua. Ni kweli kwamba niliumia sana sana kwasababu sikujua nimemkosea nini Rais Magufuli mtu ambaye nilimpenda kwa moyo wangu wote. Isitoshe kazi yangu ya ubunge niliifanya kwa kujituma na kwa moyo wangu wote. Ulikuwa huniambii kitu pale lilipotajwa jina lake...nilifunga safari mpaka mikoani kumfanyia kampeni kwa pesa zangu mfukoni siyo kwamba anipe cheo, hapana ni kwasababu nilimwamini.

Na Naomba niwaulize hivi JK angemkata jina Magufuli baada ya kushinda kura za maoni ndani ya chama angejiskiaje? Hakika angeumia lakini nina imani angemsamehe kama vile mimi nilivomsamehe. Hizi ni nafasi leo zipo na kesho hazipo. Ni sawa na kuja duniani na kesho tunaondoka. Naomba sana sana msininyanyase kwasababu mnaniumiza moyo wangu


Nakupenda sana Shy Banji, ni kweli huwa una roho kunjufu, nakumbuka mwaka 2009 ulinifanyia wema pale steers ukiwa hunijui nami sikujui, na ikawa nakujua kwa mara ya kwanza baada ya kumwuliza driver taxi mmoja kuwa wewe ni nani na siku kadhaa mbele nikakuona kwa runinga

God will pay you accordingly
 
Ila Yule mzee wa kujinyea ndio anafiti nafasi hiyo?
Aisee bora hata huyo unayemsema kuliko hili janga tulilo nalo! We subiria fulana, kofia, kitenge na pilau bado miaka 2 utaletewa!
 
Back
Top Bottom