Shy-Rose Bhanji Ajitetea


Hivi ni vigezo gani vilitumika kumuchagua shy rose kutuwakilisha katika eneo nyeti kama hilo? Jamani kama kuna mtu ana wasifu wa huyu mama naomba, kabla sijasema lolote juu yake
 
Kachelewa kukanusha, kwangu mie nimeamini kile kilichosemwa awali.

Yale maelezo ya awali yalikuwa na chembechembe za uwongo/maelezo yasiyoendana na uhalisia wa mambo ambayo yanapelekea story nzima kukosa uhalali. Kwa mfano, maelezo kwamba wabunge/abiria walimsihi rubani asitue Cairo kwa dharura (emergency landing) si tu ni uongo bali inaonyesha aliyetunga habari ile asivyokuwa makini. Hivi kweli rubani huwa anapokea ushauri kutoka kwa abiria wa ni nini cha kufanya? Ushauri kwamba rubani asifanye emergence landing unatolewa na abiria? kweli? Kwamba kuna abiria anafanya fujo kwenye ndege (anavunja chupa nk) na anahatarisha usalama wa abiria wengine pamoja na ndege yenyewe,na utaratibu unamwelekeza rubani kufanya emergence landing ili polisi wafanye kazi yao nk., lakini abiria wanamsihi rubani akiuke taratibu naye anawaelewa na safari inaendelea. Kweli? Haya ndio yale mambo ya kina Hashim Lundenga na Miss Tanzania na Passport na Vyeti vya Kuzaliwa vya kufoji huku akitarajia watu waelewe tu, pengine kwa kuwa amezoea sana kudanganya kiasi kwamba kwake kudanganya ni hali ya kawaida.
 

Safi sana mama.....we chapa kazi. Hao wakuguse tu waone muungano huu utakavyokwisha in seconds!
 
Mimi huu utetezi sijasoma wote na pia hata ile habari sikuimaliza yote. Habari yenyewe kwa msomaji makini ukianza tu kuisoma unaona kabisa imekaa kimajungu majungu sana. Simtetei huyu Shy ila pia siwezi kumsulubisha kwa habari iliyokaa kimajungu majungu kama ile.
 


go go go go shyrose wewe ni shujaa unamkomesha kagame na vbaraka wake .....najua kagame anajua uhuru ni dhaifu na anaingilika kirais ndio maana anadai na kenya imetukanwa kilichopo apo ni kua kagame anataka kumuondoa huyu spka mganda aweke mnyaruanda au mkenya ili atekeleze maslahi ya rwanda na kenya ya kuja kupgania ardhi tanzania kwa kila mwananchi kupewa cash na nchi yake na kuja kulangua ardhi yetu wanataka spka wao ili achakachue akidi wadai bunge limeptsha ikfka kwa marais wawe na ndio ya wengi......watanzani jf imevamiwa na watus wa rwanda kuwen makini tumuunge m kono shyrose mti wenye matunda ndio unaopgwa mawe.......ukfanya fujo kwenye ndege uktua tu unawekwa ndan mbona shy hakuwekwa ndani wastudanganya hao watusi
 
Shyrose ni shujaa.....kagame anatapatapa mwsho tunamtoa ikulu ya kigali tme will tell
 
Kama alitiwa pingu kwenye ndege si tungesikia kwenye habari za kimataifa? African MP arrested in the sky!:sleepy:
 
Hii habari eti kwamba kafanya hivi mara hivi,, ni uongo mtupu, bali lengo kuu ni kumchafua tu huyu mbunge hodari. Nimefanya udukuzi, hakuna kitu kama hicho.
 
Umalaya ulimtongoza akakupa.acheni chuki Na majungu vijana . Hivi kunywa pombe Tanzania nzima anakunywa huyo dada peke yake?
..we umejuaje kama nilimtongoza akaninyima??..we unatetea majanga kwa kuwa hujui...si hatutaki kuwakilishwa na vihio na wahuni.....
 
Huyo Dada Sura Yake Tu Imekaa Kimatatizo Je Mnategemea Nini? Vitu Vingine Siyo Vya Kuvipotezea Muda! Nilikwisha Mdharau Siku Nyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii..............ingi.

Kwani ukimdharau wewe ndio kinatokea nini eti?!!!. Figomarakanakipero.
 
Shy-rose anaonewa Katika hili, sidhani Kama ule uzushi ulikuwa ni kweli, Mti wenye Matunda ndio hupigwa mawe.
 
Huu ni uzushi tena uliokithiri hivi mtu afanye makosa makubwa kama haya atakaliwa kimya kiasi hicho, je hata picha tu kama kuna ukweli, jamani tubadilike tuache uzushi
 
muda ni hakimu mzuri sana.

Sent from my HTC Desire 626GPLUS dual sim using JamiiForums mobile app
 

Mimi sidhani km hoja ya msingi ni "ulevi" km ni tabia hakuanza baada ya kuchaguliwa ubunge...! Km ndivyo aliwezaje kuwa mbunge km ulisemalo lilikua ni tatizo!

Ukweli ni kwamba aliwezaje kusimama kidete dhidi ya hoja zenye maslahi ya nchi kwa udhati kiasi hicho?

Km hoja ni tabia aliyonayo ni lipi ki utendaji hakulifanya sawa? Au kwa kulinganishwa na wabunge wenzie ni wapi hakufaa?

Hoja ya ardhi ilikua kali na nyeti km alisimamia kwa usahihi ubovu wake ni nini?
 
Vema ni kujirekebisha kitabia tu jamii itakuona kama umesingiziwa au la.
SIKU ZOTE POMBE SIYO KITU RAFIKI KWA HESHIMA YA BINADAMU.
 
Vema ni kujirekebisha kitabia tu jamii itakuona kama umesingiziwa au la.
SIKU ZOTE POMBE SIYO KITU RAFIKI KWA HESHIMA YA BINADAMU.

Wapo wasio lewa na hawana heshima, km kiongozi anaweza kumwambia commissioner wa polisi kwamba "hawezi kazi" au Waziri Mkuu anaruhusu "shisha" bado anaonekana anafaa.... kauli hizi angezitoa Shy ingekuaje?
 
Vema ni kujirekebisha kitabia tu jamii itakuona kama umesingiziwa au la.
SIKU ZOTE POMBE SIYO KITU RAFIKI KWA HESHIMA YA BINADAMU.
Shyrose na makongoro nani anayejulikana kwa ulevi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…